Ukiacha ubunge wa Halima Mdee na wenzake, hivi hata wabunge wa CCM ni halali na serikali hii pia ni halali?

Ukiacha ubunge wa Halima Mdee na wenzake, hivi hata wabunge wa CCM ni halali na serikali hii pia ni halali?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Sometimes tunapohiji uhalali wa kisheria
wa ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18, huwa najiuliza ina maana wabunge wa CCM waliopo Bungeni ni halali?

Mimi naamini 2020 hatukuwa na uchaguzi, hivyo hata wabunge wa CCM na serikali nzima si vyombo au taasisi halali, kwahiyo kutegemea Spika atasema kina Mdee si wabunge halali, ni sawa na kutegemea maamuzi ya haki kwa kesi ya nyani wakati hakimu ni ngedere.

Watanzania tunachezewa sana.

Screenshot_20220214-211433_Chrome.jpg
 
Mimi naamini 2020 hatukuwa na uchaguzi hivyo hata wabunge wa CCM na serikali nzima si vyombo au taasisi halali kwahiyo kutegemea Spika atasema kina Mdee si wabunge halali, ni sawa na kutegemea maamuzi ya haki kwa kesi ya nyani wakati hakimu ni ngedere. [emoji1534][emoji1533]
 
Mimi naamini 2020 hatukuwa na uchaguzi hivyo hata wabunge wa CCM na serikali nzima si vyombo au taasisi halali kwahiyo kutegemea Spika atasema kina Mdee si wabunge halali, ni sawa na kutegemea maamuzi ya haki kwa kesi ya nyani wakati hakimu ni ngedere. [emoji1534][emoji1533]
Wabunge halali hawafiki wanne
 
Mimi naamini 2020 hatukuwa na uchaguzi hivyo hata wabunge wa CCM na serikali nzima si vyombo au taasisi halali kwahiyo kutegemea Spika atasema kina Mdee si wabunge halali, ni sawa na kutegemea maamuzi ya haki kwa kesi ya nyani wakati hakimu ni ngedere. [emoji1534][emoji1533]
Hivi naweza enda kudai ile kura yangu nilopiga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom