Wakati tukiendelea kumtafta mchawi aliyepandisha Cement!
Shida kubwa ya halmashauri nyingi ni kugeuza sheria kuwa vyanzo vya mapato.
Tutafakali gharama zifuatazo za kibali cha ujenzi huko halmashauri ya Kigamboni.
Bei hizi zinasimamiwa na ofisi ya Mkurugenzi kwa ajili ya kutunisha mfuko wa manispaa/halmashauri!
Bei ya kibali cha ujenzi wa nyumba ndogo kabisa ya vyumba vitatu na sebule kwenye kiwanja cha upana (12m kwa 13m) ambapo ni sawa mita za mraba 156 ni TSh 200,000 (laki mbili) na ada ya maombi ni Tsh 50,000 JUMLA NI 250,000/=
Ikumbukwe hapo hujajumlisha gharama za michoro ya ujenzi na Nauli za saveyi ambapo ukiongeza na hiyo 250k zaweka fikia laki Saba jumla!
250,000 ni sawa na mifuko 17 ya cement inatosha kabisa kujenga msingi!
Kwanza kwanini msitoze Square mita moja hata tsh 200? Ili watu wengi watamani kuja kuomba kibali? Kwanini gharama ya vibali isiwe chini ya elfu hamsini ili kila mtanzania atamani kuja kuomba kibali!?
Shida kubwa ya halmashauri nyingi ni kugeuza sheria kuwa vyanzo vya mapato.
Tutafakali gharama zifuatazo za kibali cha ujenzi huko halmashauri ya Kigamboni.
Bei hizi zinasimamiwa na ofisi ya Mkurugenzi kwa ajili ya kutunisha mfuko wa manispaa/halmashauri!
Bei ya kibali cha ujenzi wa nyumba ndogo kabisa ya vyumba vitatu na sebule kwenye kiwanja cha upana (12m kwa 13m) ambapo ni sawa mita za mraba 156 ni TSh 200,000 (laki mbili) na ada ya maombi ni Tsh 50,000 JUMLA NI 250,000/=
Ikumbukwe hapo hujajumlisha gharama za michoro ya ujenzi na Nauli za saveyi ambapo ukiongeza na hiyo 250k zaweka fikia laki Saba jumla!
250,000 ni sawa na mifuko 17 ya cement inatosha kabisa kujenga msingi!
Kwanza kwanini msitoze Square mita moja hata tsh 200? Ili watu wengi watamani kuja kuomba kibali? Kwanini gharama ya vibali isiwe chini ya elfu hamsini ili kila mtanzania atamani kuja kuomba kibali!?