min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Inaweza kuwa kweli ila kwa sasa ngoja nitulie kwanza.Bahati mbaya tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kuwa kweli ila kwa sasa ngoja nitulie kwanza.Bahati mbaya tu.
Tena hawa wengi ndio hovyo kabisaAya ya mwisho inasema yote. Hata ukioa mwanamke wa 20 yrs kama ni hovyo hovyo lazima ukutwe na jambo.
Ma GTsWanaume wa jf Kwa uchambuzi wa binadamu mko vizuri
Hahaha mpaka uchambuzi wa penzi la panzi tupo vizuri pia.Wanaume wa jf Kwa uchambuzi wa binadamu mko vizuri
Trump ni rais mtarajiwaMkuu
Bila "Bachelor of Arts and Theatre" biashara ya Mahusiano na Mapenzi ni biashara ngumu sana.
Biashara ya Mahusiano na Mapenzi inahitahi mshiriki/washiriki wawe wajuzi wa sanaa kwa upeo. Ndiposa haishangazi, wanawake wengi wanapenda sana tamthilia. Huko kuna mengi yanawafaa ku-perfect sanaa ya mapenzi na mahusiano.
Rais wa zamani wa America, Bw. Donald Trump ni gwiji hasa wa art and theatre...kwenye mahusiano na mapenzi ana kitu cha mfano.
Sawa mkuu,tutafanya hivyo.Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka. Kwa kifupi ni malaya
Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini
Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?
Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga
Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela
Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?
Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke
Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure
Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana
Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?
If she slept with other men for free should be offered for free
YeahAya ya mwisho inasema yote. Hata ukioa mwanamke wa 20 yrs kama ni hovyo hovyo lazima ukutwe na jambo.
SanaWanaume wa jf Kwa uchambuzi wa binadamu mko vizuri
😅😅😅😅😅Naam
Jamii zinashangaza sana...kijana wa kiume aki-test mitambo, anaitwa rijali.
Binti aki-test mitambo anaitwa kicheche
Hii nai print nitawapa watoto wa some wakibareheUnaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka. Kwa kifupi ni malaya
Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini
Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?
Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga
Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela
Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?
Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke
Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure
Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana
Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?
If she slept with other men for free should be offered for free
Trump ni rais mtarajiwa
Hakikisha huu ushauri uwape kama hawajailoweka na wao. bikra kwa bikra, sisi tuliozichapa kwa walio chapwa .Hii nai print nitawapa watoto wa some wakibarehe
😅 hawatuoni tukiwa vibinti sasaWatasema Hayakuhusu Maana Wamekwisha Lewa Na Stress Za Kuolewa.
Mhhhhhhhh, tunaowana vizuri tu , sema wakati huo na nyie mnaona mbali zaidi.[emoji28] hawatuoni tukiwa vibinti sasa
Eeh and tukiwa age mate wanakua wanajitafuta wakipata wanashuka na hawa underageMhhhhhhhh
Najua yawauma sababu Malaya mmoja amepungua kwenye mzumguko wenu, na tukimchukua twamfundisha kuwa mke mwema hammpati ng'o..Unaoa mwanamke ambaye ameshatumika, kuna watu wamemla bure miaka na miaka. Kwa kifupi ni malaya
Ulivyo mjinga unafanya na sherehe kabisa ya harusi ukumbini ukila, kunywa, ukicheza na kumtambulisha malaya kwa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki uliowaalika ukumbini
Ulivyo mjinga kabla ya kuteketeza mamilioni ukumbini ulimlipia mahari kubwa na wazazi wake wakakukabidhi malaya? Kweli hii ni akili au matope?
Kabla ya harusi unamnunulia malaya wedding gown, viatu na gharama ya salon apendeze siku ya harusi. Wewe ni mwanamume mjinga
Unapanga mipango ya harusi na kuwachangisha wadau ili uoe mwanamke ambaye bado kuna watu wanamla free kabla ya ndoa na baada ya ndoa wataendelea kummega kisela
Kuna ile mibwege siku ya engagement inawavalisha pete wanawake used na kama haitoshi wanampigia magoti malaya na kusema "please with this ring my love I'm giving you my heart." Kweli malaya wa kumpigia magoti?
Kama umemkuta ameshatumika kwa nini upoteze mamilioni kwa ajili yake? Hebu wanaume tushtuke
Iko hivi nyie mliooa kwa gharama huyo mwanamke ulijisumbua na kupoteza pesa zako bure
Huyo mkeo ni malaya she's cheap ndio maana amelala na wanaume wengine bure au kwa gharama ndogo kabla yako na wahuni hawakutoa hayo mamilioni, tena wamemmega kwenye nyumba za wageni za kawaida sana
Wewe kwa ujinga na kiherehere chako eti umeenda kulipia honeymoon kwenye hotel kubwa. Una akili kweli?
If she slept with other men for free should be offered for free
Sio kwel , hiyo ni saikolojia tu yakuwafanya mjione mmepitwa na wakati ili mlegeze kamba , mlipo kaza lazima milio ya Nokia iwepo , vocha ,gesi ,pesa ya kodi ,kusuka na baba kameza panga unafikiri mchezo.Eeh and tukiwa age mate wanakua wanajitafuta wakipata wanashuka na hawa underage
Af sisi wanaanza kutusema kama hvi