Means hata kamala haris hatazeeka?Pesa sabuni ya roho mzee....unakula vizuri,unaoga vizuri,unalala vizuri huna stress za bills za maisha ndugu wanakunyenyekea,watoto wanasoma vizuri,polisi hawakusumbui barabarani,bando la internet bure unazeekaje kamanda.
Hao watu wa ivyo wanazeeka miaka 90 huko sio nyie wengine miaka 40 tu ngozi inakuwa na kama ya goti ishapoteza nuru.Means hata kamala haris hatazeeka?
Makinda je?Aisee tangu niko shule ya msingi Juhudi iliyopo ukonga magereza nasoma mpaka nimemaliza elimu uchwara za Bongo na kuingia mtaani hadi sasa nikiwa na miaka 27 hawa watu majina yao ni mheshimiwa waziri bla bla bla.....yani kwa lugha nyepesi wao ni mawaziri tu.
Kuna watu hapa Tanzania keki ya taifa (asali ) wanailamba sana wanaishi kama wapo peponi.
Anyway....
Naomba kujua na kuelimishwa wana nini vya maana na upekee(unique) upi haswa katika watanzania milioni 60 au wana nini cha maana kuzidi wanachama wa CCM milioni 15 na ushee kama wanavyojinadi.
Naomba kujuzwa.
NB:wale wakubwa wa JF kiumri mababu,mabibi,wababa na wamama shikamoooni.
Huyo mama naye alikuwa mkuda sana.Makinda je?
Nimeanza kumsikia toka niko tumboni kwa mama yangu hadi leo nakaribia 50 yumo tu.
Jibu swali mheshimiwa jenister muhagama.Wabongo acheni majungu
Punguzeni majungu mwenye nacho ataongezewaJibu swali mheshimiwa jenister muhagama.
waganga wa nchi, yani hao mpaka wafie ofisini kana kwamba watu wengine wameisha. SHAME on usAisee tangu niko shule ya msingi Juhudi iliyopo ukonga magereza nasoma mpaka nimemaliza elimu uchwara za Bongo na kuingia mtaani hadi sasa nikiwa na miaka 27 hawa watu majina yao ni mheshimiwa waziri bla bla bla.....yani kwa lugha nyepesi wao ni mawaziri tu.
Kuna watu hapa Tanzania keki ya taifa (asali ) wanailamba sana wanaishi kama wapo peponi.
Anyway....
Naomba kujua na kuelimishwa wana nini vya maana na upekee(unique) upi haswa katika watanzania milioni 60 au wana nini cha maana kuzidi wanachama wa CCM milioni 15 na ushee kama wanavyojinadi.
Naomba kujuzwa.
NB:wale wakubwa wa JF kiumri mababu,mabibi,wababa na wamama shikamoooni.
Kinacho mwinua ni kufanya kazi kama Bosi wake anavyotaka. Ni mtiifu sana. Viongozi wenu wawapenda watu wote anaowatii.Katika waziri kiaz ni jenista mhagama! Kitu kinachombeba ananidhamu ya uoga na anadegree 10 za unafiki.
kwahiyo yeye kila anayeingia kweye sisitimu anamkuta tu pale kama kiti cyoMhagama ni pisi ya system
mwacheni mzee wa watu yuko uvccm badoHuyu mzee naamin kikwete hamkuti kwa miaka lakini yupo tu sijui hana wajukuu.
me nipo na wasira hapa tunapanga mipango kugombea ubunge mwakaniMakinda je?
Nimeanza kumsikia toka niko tumboni kwa mama yangu hadi leo nakaribia 50 yumo tu.
Utamu wake ni sawa na unlimited bundle au big g isiyoisha utamu.Mhagama ni pisi ya system
Kule jimboni kwake ana chawa kibao si ajabu anapita bila kupingwa.Katika waziri kiaz ni jenista mhagama! Kitu kinachombeba ananidhamu ya uoga na anadegree 10 za unafiki.
Huyu comrade sijui huwa anaongea na nani kwa maana wenzake na marafiki zake karibu wote washatangulia mbele za haki, labda waliobaki ni mzee mwenzake mlamba asali, BT, na bwana tembo na hawa wote wamestaafu japo wengine ni wastaafu wasiotaka kustaafu!Huo ndio uspesho wake kupigana vita vya kagera mbona CDF wake Msuguri yupo mara huko analea wajukuu
Na hivi ni mjane..Mhagama ni pisi ya system