Ukiachana na Jenister muhagama kuna huyu George Mkuchika

Makinda je?
Nimeanza kumsikia toka niko tumboni kwa mama yangu hadi leo nakaribia 50 yumo tu.
 
waganga wa nchi, yani hao mpaka wafie ofisini kana kwamba watu wengine wameisha. SHAME on us
 
Kule kwenye jimb
Katika waziri kiaz ni jenista mhagama! Kitu kinachombeba ananidhamu ya uoga na anadegree 10 za unafiki.
Kule jimboni kwake ana chawa kibao si ajabu anapita bila kupingwa.
 
H
Huo ndio uspesho wake kupigana vita vya kagera mbona CDF wake Msuguri yupo mara huko analea wajukuu
Huyu comrade sijui huwa anaongea na nani kwa maana wenzake na marafiki zake karibu wote washatangulia mbele za haki, labda waliobaki ni mzee mwenzake mlamba asali, BT, na bwana tembo na hawa wote wamestaafu japo wengine ni wastaafu wasiotaka kustaafu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…