kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
aise!Busara zake zimelisaidia nini Taifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aise!Busara zake zimelisaidia nini Taifa?
Mhagama ni waziri toka nimeanza kumsikiia toka 2007,sionagi anachofanya ambacho ni legacyAisee tangu niko shule ya msingi Juhudi iliyopo ukonga magereza nasoma mpaka nimemaliza elimu uchwara za Bongo na kuingia mtaani hadi sasa nikiwa na miaka 27 hawa watu majina yao ni mheshimiwa waziri bla bla bla.....yani kwa lugha nyepesi wao ni mawaziri tu.
Kuna watu hapa Tanzania keki ya taifa (asali ) wanailamba sana wanaishi kama wapo peponi.
Anyway....
Naomba kujua na kuelimishwa wana nini vya maana na upekee(unique) upi haswa katika watanzania milioni 60 au wana nini cha maana kuzidi wanachama wa CCM milioni 15 na ushee kama wanavyojinadi.
Naomba kujuzwa.
NB:wale wakubwa wa JF kiumri mababu,mabibi,wababa na wamama shikamoooni.
HahahahaHao watu wa ivyo wanazeeka miaka 90 huko sio nyie wengine miaka 40 tu ngozi inakuwa na kama ya goti ishapoteza nuru.
Kwan aliingia kwenye siasa tafuta watoto wake kama wanatembeza bahasha za kuomba ajiraHuo ndio uspesho wake kupigana vita vya kagera mbona CDF wake Msuguri yupo mara huko analea wajukuu
kwa hiyo wana vitengo ni lazima wawe mawaziri?Mhagama,mkuchika,lukuvi ni wanakitengo hao