Ukiachana na Jenister muhagama kuna huyu George Mkuchika

Ukiachana na Jenister muhagama kuna huyu George Mkuchika

Aisee tangu niko shule ya msingi Juhudi iliyopo ukonga magereza nasoma mpaka nimemaliza elimu uchwara za Bongo na kuingia mtaani hadi sasa nikiwa na miaka 27 hawa watu majina yao ni mheshimiwa waziri bla bla bla.....yani kwa lugha nyepesi wao ni mawaziri tu.

Kuna watu hapa Tanzania keki ya taifa (asali ) wanailamba sana wanaishi kama wapo peponi.

Anyway....

Naomba kujua na kuelimishwa wana nini vya maana na upekee(unique) upi haswa katika watanzania milioni 60 au wana nini cha maana kuzidi wanachama wa CCM milioni 15 na ushee kama wanavyojinadi.

Naomba kujuzwa.

NB:wale wakubwa wa JF kiumri mababu,mabibi,wababa na wamama shikamoooni.
Mhagama ni waziri toka nimeanza kumsikiia toka 2007,sionagi anachofanya ambacho ni legacy
 
Mkuchika simjui kiundani,
Ila mama namna, kiufupi ndie matroni wa taifa,

Amehudumu Kama mshauri wa maraisi wote direct and indirect tangu awamu ya mkapa.

Watukutu wote ccm, usalama Hadi ikulu uelekezwa kwake Kwa counseling.

Sio muongeji sana public Ila persoanally Ana uwezo mkubwa Sana wa kushauri na kushawishi

Ukijikuta kwenye ugomvi na yule mama, directly ww ndo utakua mkorofi.

Ukishindikana kushauriwa au kuonywa na yule Mama, system lazima wakule kichwa
 
majina ndo hayo hayo mkuu wote tunayasikia kwa staili hiyo hiyo
 
Back
Top Bottom