Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upumbavu mtupu Kama hiyo ndo misaadaWanasaidia mambo mengi sana ambayo mwananchi wa kawaida haambiwi kabisa
Na kama kila kitu wanachotoa kingewafikia walengwa basi kusingekuwa na shule isiyokuwa na vitabu na madawati na vyoo
Wafadhili wanatoa hela na vifaa kwa Elimu, kilimo, afya na hata chakula
Kwa hiyo sio condom tu
Hiyo misaada ifungwe tu maana wanaofaidi ni baadhi ya majizi tuUpumbavu mtupu Kama hiyo ndo misaada
Uchawa umetufikisha hukutulikuwa hadi chawa wa waliotufungia vioo vioo vya kuwa omba omba tangu kwenye bajeti kuu hadi ifadhili wa miradi inayoliwa kwa urefu wa kamba.Japo gharama za kupata ARV zipo juu Ila sifikirii Kama tutashindwa kulipia hizo dawa.
Je kwann mnamlaani trump?
Japo gharama za kupata ARV zipo juu Ila sifikirii Kama tutashindwa kulipia hizo dawa.
Je kwann mnamlaani trump?
Kujenga vyoo vya mashule huku watawala wakitumia mashangingi ya 600MlJapo gharama za kupata ARV zipo juu Ila sifikirii Kama tutashindwa kulipia hizo dawa.
Je kwann mnamlaani trump?
Wabongo sie ku&mme hizo data za hayo ma usd bilioni mbona hatuzioni kwenye takwimu za hao wafadhili wenyew , nyie mnazitoa wapi au ndo na hao wafadhili nao wanaficha kias halisi Cha pesa wanachotupa kama msaadaHiyo misaada ifungwe tu maana wwnaofaidi ni baadhi ya majizi tu
Sio upumbavu ni billions of $ wanapiga watu kila mwaka
Angalia marais Africa wanavyo ng'ang'ania madaraka
Leo misaada yote mpaka ya vyoo
Bara bara ya Tunduma - Sumbawanga yote ni Kwa msaada wa Watu wa Marekani. Sio hivi tu hata Magari mengi ya serikali yale ya USAID wametoa wao zile.barabara ya tunduru, namtumbo songea ni USAID,
Hiki kipande kilikuwa pasua kichwa
kuna wajinga wanaona hamna tatizo USAID kuondoka ila kiama chake tutafurahiBara bara ya Tunduma - Sumbawanga yote ni Kwa msaada wa Watu wa Marekani. Sio hivi tu hata Magari mengi ya serikali yale ya USAID wametoa wao zile.