Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapewa misaada na US halafu porojo na wanaenda kupiga kwa mchina na mrusi ngoja trump akate utepe akili ziwarudikuna wajinga wanaona hamna tatizo USAID kuondoka ila kiama chake tutafurahi
US anataka kuwa kama mchina, baada ya kuona watu wanatukana misaada yake....
Kwa sababu hamna freedom of information act (FOI) kama wenzenu basi huwezi kupataWabongo sie ku&mme hizo data za hayo ma usd bilioni mbona hatuzioni kwenye takwimu za hao wafadhili wenyew , nyie mnazitoa wapi au ndo na hao wafadhili nao wanaficha kias halisi Cha pesa wanachotupa kama msaada
Kama wewe unaweza, si watu wote wenye HIV wanaweza. Ajabu unakuja na sweeping statement kuwa hufikirii kama tutashindwa kulipa!. Wanaolipa na walioathirika na ni wa ngazi zote toka matajiri mpaka maskini.Japo gharama za kupata ARV zipo juu Ila sifikirii Kama tutashindwa kulipia hizo dawa.
Je kwann mnamlaani trump?
wasamehe mkuu sio kosa lao. tatizo wengi hawajui haya mambo yanavoenda wanafikiri hii misaada inawagusa wa maofisini na wanywa ARV tu na ivyo misaada ikikata basi hao tu ndo wahanga.kuna wajinga wanaona hamna tatizo USAID kuondoka ila kiama chake tutafurahi
US anataka kuwa kama mchina, baada ya kuona watu wanatukana misaada yake....
Kwani hatuwezi kuanzisha vyondom vyetu vya asili?Wanasaidia mambo mengi sana ambayo mwananchi wa kawaida haambiwi kabisa
Na kama kila kitu wanachotoa kingewafikia walengwa basi kusingekuwa na shule isiyokuwa na vitabu na madawati na vyoo
Wafadhili wanatoa hela na vifaa kwa Elimu, kilimo, afya na hata chakula
Kwa hiyo sio condom tu
ni kweli kuna namna na wao wanafaidika ila pia ujue hao jamaa hawana roho mbaya kama sisi.Hivi kuna misaada ya bure kwel wakuu au kuna namna tunalipia indirect
Kabisa misaada ya bure labda ya mashoga ili waendeleze kampeni yao na machanjo(vaccine) ambayo ya athari kifupi misaada sio mizuri hasa unapoigeuza kua haki yakoni kweli kuna namna na wao wanafaidika ila pia ujue hao jamaa hawana roho mbaya kama sisi.
Popote ulipo tutakufikia, nahivi huna teeth?? Tutakuonyesha umuhimu wa 'TEETH" kumbafu.Kwn bi ushungi hawez kwnd kujitongozesha kwa dingi mbn ana 👀 ya kushawishi angalau na yeye atusaidie kwa hilo
ARV, VITENANISHI, MASHINE ZA UCHUNGUZI PAMOJA, MISHAHARA NA MAINTANCENCE, MAGARI, nia vikolokolo vingiii, kumbuka hizo gharama hazikuwekwa kwa bJETI YA 2024/25Japo gharama za kupata ARV zipo juu Ila sifikirii Kama tutashindwa kulipia hizo dawa.
Je kwann mnamlaani trump?
Kuuliza si ujinga washika dau,,, kama hivyo ndivyo misaada yote hiyo wanayotoa je ni return gani wanayopata kutoka kwetu,, siwezi amini kama mamilion ya dollar wanayagawa tu bure, au kwa kuwa dollar wanachapisha wao?Google ingekusaidia
USAID (United States Agency for International Development) ni shirika la misaada la Marekani linalotoa msaada wa maendeleo kwa nchi mbalimbali duniani, ikiwemo Tanzania. Kazi kuu za USAID ni:
1. Maendeleo ya Uchumi – Inasaidia kukuza uchumi kwa kuwekeza katika biashara ndogo, kilimo, na ujasiriamali.
2. Afya – Hutoa msaada kwa miradi ya afya, kama vile kupambana na malaria, VVU/UKIMWI, lishe bora, na afya ya mama na mtoto.
3. Elimu – Inasaidia upatikanaji wa elimu bora, hasa kwa watoto wa kike na jamii zilizo pembezoni.
4. Utawala Bora na Demokrasia – Inasaidia kuimarisha demokrasia, haki za binadamu, na utawala wa sheria.
5. Misaada ya Dharura – Hutoa msaada wa kibinadamu wakati wa majanga kama vile mafuriko, njaa, na migogoro ya kivita.
6. Mazingira na Nishati – Inasaidia miradi ya uhifadhi wa mazingira, nishati mbadala, na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
USAID inashirikiana na serikali, mashirika ya kiraia, na sekta binafsi ili kuhakikisha maendeleo endelevu. Tanzania ni moja ya nchi zinazopokea msaada mkubwa kutoka USAID, hasa katika sekta za afya, elimu, na kilimo.
Kila kitu tunaweza ila hamjaamua tuKwani hatuwezi kuanzisha vyondom vyetu vya asili?
Sijasema huku kwetu mkuu..nasemea huko pesa inapotoka especially US kila kitu kipo wazi na kila cent inayoletwa uku kwetu kama msada inajulikana,ingia website ya USAID kila kit kipo wazi vingine story za vijiweni tu..Kwa sababu hamna freedom of information act (FOI) kama wenzenu basi huwezi kupata
Labda wapitishe hiyo sheria ya kuwa yeyote anaweza kupata taarifa zozote za Umma mda wowote akihitaji
Hakuna anaetaka hii kwenye serikali zetu nyingi maana ni kuweka wizi wao hadharani
Nimekuelewa MkuuSijasema huku kwetu mkuu..nasemea huko pesa inapotoka especially US kila kitu kipo wazi na kila cent inayoletwa uku kwetu kama msada inajulikana,ingia website ya USAID kila kit kipo wazi vingine story za vijiweni tu..
May b labda Kuna nyingne wanapeana Kwa siri Kwa makubaliano Yao wanayoyajua wao
Hizo dawa kwani zimeanza kuuzwa ....kama ni kwel8 basi hii itskuwa habari njema sana kwangu na kwa taifa na kwa africaJapo gharama za kupata ARV zipo juu Ila sifikirii Kama tutashindwa kulipia hizo dawa.
Je kwann mnamlaani trump?