Ukiachana na kuwa Mwafrika, kitu gani kingine unakichukia?

Ukiachana na kuwa Mwafrika, kitu gani kingine unakichukia?

narudi kesho

Senior Member
Joined
Jul 5, 2024
Posts
177
Reaction score
270
Habari za humu wana JF,

Katika kupitia nyuzi mbalimbali humu jukwaani nimegundua watu wengi wamekuwa wakilalamika hususa kuzaliwa afrika na wengine wamefika mbali zaidi na kusema ngozi nyeusi imelaaniwa. Binafsi nakubaliana nao Kwa uafrika nina uchukia ila sio ngozi yeyote nyeusi imelaaniwa.

Pia, binafsi siamini chama kimoja kuongoza nchi kwa muda mrefu ndiyo kunafanya maisha yawe magumu kwa sababu kuna taifa kama uingereza liliwahi kuongozwa na malkia kwa muda mrefu lakini uongozi haukukuteteleka na uchumi wao mkubwa had leo,taifa kama brunei Sultan wao yupo madarakani tangia 1967 lakini hadi leo maisha mazuri na watu wanakula bata.

Ukiniambia Tanzania lina eneo kubwa na watu wengi ndiyo maana maisha magumu basi wewe huna akiri.

Hii ardhi wanaoishi watu weusi inaonekana moja kwa moja kuna kitu hakipo sawa na hakitakuwa sawa kwa sababu ndiyo tulivyoumbwa.

Ukiniuliza kitu gani chengine Nacho kichukia ni kuwa hadi leo nipo Tanzania.

Sijui wewe mwana JF mwenzangu.
 
Mkoloni alifanikiwa Sana kuacha SLAVE MINDSET yaani mtazamo wa Kitumwa kwa makoloni yake, Unachukia Uafrika? Too general, hebu nikuulize maswali machache

1,Je unafikiri hakuna waafrika waliofanikiwa, iwe kiuchumi, Kimichezo, Uongozi au Siasa? Mfano, Mansa Musa, Nelson Mandela, Julius Nyerere, na wengineo? Unajua mabingwa wa marathon duniani wanatoka Africa?

2,Umemaanisha nini kusema unauchukia uafrika? Ni mtazamo binafsi au umetumia vigezo vipi?

Mwisho, ukiona Uzi Kama huu unaashiria hali yako ya kifikra bado Sana.tumia muda mwingi kujielimisha utaondokana na huu mtazamo
 
Mimi sidhani kama uafrika ni tatizo ila tatizo lipo kwa ngozi nyeusi yeyote angalia huko Haiti sijui kwa sababu chimbuko lao ni Africa?
 
Mkoloni alifanikiwa Sana kuacha SLAVE MINDSET yaani mtazamo wa Kitumwa kwa makoloni yake, Unachukia Uafrika? Too general, hebu nikuulize maswali machache

1,Je unafikiri hakuna waafrika waliofanikiwa, iwe kiuchumi, Kimichezo, Uongozi au Siasa? Mfano, Mansa Musa, Nelson Mandela, Julius Nyerere, na wengineo? Unajua mabingwa wa marathon duniani wanatoka Africa?

2,Umemaanisha nini kusema unauchukia uafrika? Ni mtazamo binafsi au umetumia vigezo vipi?

Mwisho, ukiona Uzi Kama huu unaashiria hali yako ya kifikra bado Sana.tumia muda mwingi kujielimisha utaondokana na huu mtazamo
Huko miaka ya nyuma hao viongozi wengi ndiyo waliosainii mikataba mirefu ya kuchukuliwa rasilimali zetu na wakoloni ndiyo hadi leo tunaishi hivi hao ndiyo waliosema makabira fulani yasipewe inchi utakosoaje kabila la mwenzako kuwa haliwezi ,hao pia walikuwa na ubaguzi.
 
Mimi sidhani kama uafrika ni tatizo ila tatizo lipo kwa ngozi nyeusi yeyote angalia huko Haiti sijui kwa sababu climb uko lao ni Africa?
yeah ushasahu tena mambo ya triangle trade sisi tulifanywa watumwa ndiyo tukaenda mabara ya kule
 
Tunapokosea waafrika ni kutojikubali wenyewe tulivyo na kutamani maisha ya wenzetu
#Be humble
 
Kabla ya wazungu na waarabu kuja afrika wangekuwa kama sasa maana hawakuwa na malighafi za thamani, kitu kibaya kukosa akiri sio mazingira.
Akili zinasababishwa na mazingira, neno ''mazingira'' katika muktadha huu, linamaanisha Mila, desturi, imani, mifumo ya elimu nk.

Kilichofanya wazungu wafike Afrika ni mapinduzi ya viwanda huko kwao.

Yaani teknolojia ilikua, viwanda vikawa vingi kiasi kwamba kukawa hakuna wafanyakazi wala malighafi.

Kwa hiyo walikuja Afrika wakiwa tayari walishaendelea.
 
Akili zinasababishwa na mazingira, neno ''mazingira'' katika muktadha huu, linamaanisha Mila, desturi, imani, mifumo ya elimu nk.

Kilichofanya wazungu wafike Afrika ni mapinduzi ya viwanda huko kwao.

Yaani teknolojia ilikua, viwanda vikawa vingi kiasi kwamba kukawa hakuna wafanyakazi wala malighafi.

Kwa hiyo walikuja Afrika wakiwa tayari walishaendelea.
hawakuendelea ila walipokuja huku nakuona vitu tofauti na kwao wakaamua kuvitafiti.

Walipogundua vina faida ndipo wakaja kututawala lakini sisi hadi tuna malighafi nyingi lakini bado hatuvitumii kimaendeleo makubwa.
 
Back
Top Bottom