Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha Paka wa Shamshi,Kuna muhindi kitaa anaitwa Shamshi, alikua na Paka Kila asubuhi anamnunulia Maziwa,Sasa tulivyokua wadogo tulikua tunasema "anha Bora mtu uwe Paka wa Shamshi"Aisee wee upo kama mie bora kuzaliwa mbwa ulaya kuliko binadamu Afrika 🤣🤣🤣🤣
We tunajua unalipenda bara lakoMimi Prince Akim of Zamunda unaniambiaje niuchukie Uafrika?
Watu wadhani utani lakini kuna mbwa au paka wanaishi vizrui kuliko binadamuUmenikumbusha Paka wa Shamshi,Kuna muhindi kitaa anaitwa Shamshi, alikua na Paka Kila asubuhi anamnunulia Maziwa,Sasa tulivyokua wadogo tulikua tunasema "anha Bora mtu uwe Paka wa Shamshi"
sawa ahsante sana nahitaji kufanya nini nisichukie uafrika?Hii umefika hatua mbaya Sana kujichukia haifai.
Hama nchi mkuu.....Ukiniuliza kitu gani chengine Nacho kichukia ni kuwa hadi leo nipo Tanzania.