Umenikumbusha Paka wa Shamshi,Kuna muhindi kitaa anaitwa Shamshi, alikua na Paka Kila asubuhi anamnunulia Maziwa,Sasa tulivyokua wadogo tulikua tunasema "anha Bora mtu uwe Paka wa Shamshi"
Umenikumbusha Paka wa Shamshi,Kuna muhindi kitaa anaitwa Shamshi, alikua na Paka Kila asubuhi anamnunulia Maziwa,Sasa tulivyokua wadogo tulikua tunasema "anha Bora mtu uwe Paka wa Shamshi"