Habari wajameni,
Sisi low income earner tuko na changamoto sana ya kutaka vitu vizuri na imara at affordable price,, btw kila mtu anapenda vitu vizuri mazee.
Sasa basi, ukiachana na brand Tajwa hapo juu, Hisence imekuja kwa kasi sana mtaani na kuonekana ni TV nzuri at affordable price.
Lakini reviews nyingi za wadau ni kwamba hisence wamefanikiwa kuwa na jina (brand) lakini uimara wake sio guaranteed kabhitha na hizi pesa zetu za ngama mtu kusave 1m kununua TV af within a year inaanza kuleta changamoto ni mazishi mazee.
Kwa mbali naona TCL inasifiwa kwa uimara than Hisence,, humu ndani wabobezi wa hizi mambo ni wengi sana..
What do you guys comment aisee?
Sisi low income earner tuko na changamoto sana ya kutaka vitu vizuri na imara at affordable price,, btw kila mtu anapenda vitu vizuri mazee.
Sasa basi, ukiachana na brand Tajwa hapo juu, Hisence imekuja kwa kasi sana mtaani na kuonekana ni TV nzuri at affordable price.
Lakini reviews nyingi za wadau ni kwamba hisence wamefanikiwa kuwa na jina (brand) lakini uimara wake sio guaranteed kabhitha na hizi pesa zetu za ngama mtu kusave 1m kununua TV af within a year inaanza kuleta changamoto ni mazishi mazee.
Kwa mbali naona TCL inasifiwa kwa uimara than Hisence,, humu ndani wabobezi wa hizi mambo ni wengi sana..
What do you guys comment aisee?