Ukiachana na Samsung na LG, ni TV gani nzuri na imara?

Ukiachana na Samsung na LG, ni TV gani nzuri na imara?

Habari wajameni,

Sisi low income earner tuko na changamoto sana ya kutaka vitu vizuri na imara at affordable price,, btw kila mtu anapenda vitu vizuri mazee.

Sasa basi, ukiachana na brand Tajwa hapo juu, Hisence imekuja kwa kasi sana mtaani na kuonekana ni TV nzuri at affordable price.

Lakini reviews nyingi za wadau ni kwamba hisence wamefanikiwa kuwa na jina (brand) lakini uimara wake sio guaranteed kabhitha na hizi pesa zetu za ngama mtu kusave 1m kununua TV af within a year inaanza kuleta changamoto ni mazishi mazee.

Kwa mbali naona TCL inasifiwa kwa uimara than Hisence,, humu ndani wabobezi wa hizi mambo ni wengi sana..
What do you guys comment aisee?
Hesence kama umenunua enzi zinatoka
Umepata TV Lkn kwa sasa not much

Recommendation LG, Phillips, Sony and Samsung is still the best products
 
Habari wajameni,

Sisi low income earner tuko na changamoto sana ya kutaka vitu vizuri na imara at affordable price,, btw kila mtu anapenda vitu vizuri mazee.

Sasa basi, ukiachana na brand Tajwa hapo juu, Hisence imekuja kwa kasi sana mtaani na kuonekana ni TV nzuri at affordable price.

Lakini reviews nyingi za wadau ni kwamba hisence wamefanikiwa kuwa na jina (brand) lakini uimara wake sio guaranteed kabhitha na hizi pesa zetu za ngama mtu kusave 1m kununua TV af within a year inaanza kuleta changamoto ni mazishi mazee.

Kwa mbali naona TCL inasifiwa kwa uimara than Hisence,, humu ndani wabobezi wa hizi mambo ni wengi sana..
What do you guys comment aisee?
Mkuu cha muhimu ni after sale service, brand yoyote utakayochagua hakikisha ipo Tanzania na ina service centre na inatoa warranty chochote kitachotokea.

Hisense na TCL wapo vizuri kwa wachina pia naona Haier siku hizi wapo.
 
Hizi TV za china ni kucheza pata potea. Hisense/TV unaweza kubahatisha ukapata nzuri ila kama unaweza kuongeza budget bora uongeze uchukue LG. Nilinunua hisense baada ya warranty ikaleta mstari kwenye screen, warranty yao wanatoa mwaka mmoja. LG nafikiri bado ni 2 yrs.
Pia unaweza ukapunguza Resolution na kutoa feature ya smart kupata tv bora kwa bei rahisi.
 
Ukichukua Hisense 4k kuanzia 55' utagundua huna haja ya sound bar Hisense hana mpinzani kwa bei nafuu na ubora.
 
Hesence kama umenunua enzi zinatoka
Umepata TV Lkn kwa sasa not much

Recommendation LG, Phillips, Sony and Samsung is still the best products
Sony wengi hawawezi bei yake mkuu,hiyo lg nayo ni uweke mbali na watoto vioo vyake ni sensitive sana bado Hisense ni best choice.
 
Hizi TV za china ni kucheza pata potea. Hisense/TV unaweza kubahatisha ukapata nzuri ila kama unaweza kuongeza budget bora uongeze uchukue LG. Nilinunua hisense baada ya warranty ikaleta mstari kwenye screen, warranty yao wanatoa mwaka mmoja. LG nafikiri bado ni 2 yrs.
Nimenunua ubey hata wajukuu wanachezea lakini ipo miaka 4 sasa
 
Mkuu ukitaka mseleleko tu kwisha habar yako.

Hii hata Kwa laki unapata
 

Attachments

  • Screenshot_20240925-201930_1.jpg
    Screenshot_20240925-201930_1.jpg
    76.4 KB · Views: 11
Back
Top Bottom