sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Hivi GRAPHICS wa YANGA SC hawezi fungua CHUO ili awape Darsa hawa wa vilabu Vidogo?
Nimecheka hapa naona watu wanasema kaiba ile sehemu ya kutembea na funguo, niwatoe ushamba tu kwamba Kile kitu kinaruhusiwa kabisa katika fani ya graphics na ni sehemu ya sheria za "Fair use policies" katika mitandao ya kijamii.
Tumekubaliana kuwa YANGA wapewe kombe lao kwenye Graphics sasa.
Hiki kitengo cha Digital Yanga Sc waongezewe tu mshahara, huenda ikawa Ligi mpya kati ya anayesajili na wanaohusika katika graphics
Ubunifu ambao unaendela kuonyeshwa watu wa Graphics Yanga katika utambulisho wa wachezaji wao unavutia kweli kweli na hii italeta chachu mwa timu nyingine kuiga yanayofanywa na watu wa Yanga.
Nimecheka hapa naona watu wanasema kaiba ile sehemu ya kutembea na funguo, niwatoe ushamba tu kwamba Kile kitu kinaruhusiwa kabisa katika fani ya graphics na ni sehemu ya sheria za "Fair use policies" katika mitandao ya kijamii.
Tumekubaliana kuwa YANGA wapewe kombe lao kwenye Graphics sasa.
Hiki kitengo cha Digital Yanga Sc waongezewe tu mshahara, huenda ikawa Ligi mpya kati ya anayesajili na wanaohusika katika graphics
Ubunifu ambao unaendela kuonyeshwa watu wa Graphics Yanga katika utambulisho wa wachezaji wao unavutia kweli kweli na hii italeta chachu mwa timu nyingine kuiga yanayofanywa na watu wa Yanga.