Ukiachika, nijulishe..

Ukiachika, nijulishe..

si umenikana mbele ya kadamnasi eeeh!!! haya nendakwa huyo sweetylove, siju atawaweza nyie wote???

Dont worry bht! Am here darling. Single and free!
 
Du hizi bahati zingine acha tu! Nimekamatika ile mbaya Nguli anajua....sina dalili ya kuacha wala kuachwa ....mapenzi ni lulu tamu! Pole Sweetbaby
 
Kumbe ni kweli!mie nilidhani maneno ya watu tu! Bht upo wapi mamaa mwenzio huku maji yamezidi unga.

Tanzgu jana mi namwangalia t Xpin anvodandia vimwana muulize hata FL1!!! yaani jana ilikua vurugu mechi no referee!!

nilimkanya severa times akasema harudiii....leo vile umechelewa kajisahau alijua huji tena!!!

haya mama jionee mwenyewe!!! mi niliambiwa nakaba hadi penalti
 
Tanzgu jana mi namwangalia t Xpin anvodandia vimwana muulize hata FL1!!! yaani jana ilikua vurugu mechi no referee!!

nilimkanya severa times akasema harudiii....leo vile umechelewa kajisahau alijua huji tena!!!

haya mama jionee mwenyewe!!! mi niliambiwa nakaba hadi penalti

Ndio maana huwa namfungia alee kabinti ndani.
 
Kumbe ni kweli!mie nilidhani maneno ya watu tu! Bht upo wapi mamaa mwenzio huku maji yamezidi unga.

Hahaha! Mchumba pole kwa ovadozi ya limbwata! Unajua nilieksichenji vikombe kwa bahati mbaya,nikajikuta nakunywa chai badala ya limbwata!
 
Tanzgu jana mi namwangalia t Xpin anvodandia vimwana muulize hata FL1!!! yaani jana ilikua vurugu mechi no referee!!

nilimkanya severa times akasema harudiii....leo vile umechelewa kajisahau alijua huji tena!!!

haya mama jionee mwenyewe!!! mi niliambiwa nakaba hadi penalti

Hahaha! Najua unataka kuniharibia ili nikuchukue wewe. Tangu jana baada ya kuona mchumba hayupo niliona visa vyako. FYI mimi na ZD hata kifo hakitutenganishi. Akitangulia yeye nabugia misumu ya kufa mtu namfuata.
 
Hahaha! Mchumba pole kwa ovadozi ya limbwata! Unajua nilieksichenji vikombe kwa bahati mbaya,nikajikuta nakunywa chai badala ya limbwata!

ZD MAMII, alikusudia kufanya hivo...ili apate wasaaa wa kukusaliti maana fiesta ulimbana ile mbaya
 
Xpin okoa jahazi kabla halijazama, mambo hadharani, talaka itakukosa kweli?
 
Hahaha! Najua unataka kuniharibia ili nikuchukue wewe. Tangu jana baada ya kuona mchumba hayupo niliona visa vyako. FYI mimi na ZD hata kifo hakitutenganishi. Akitangulia yeye nabugia misumu ya kufa mtu namfuata.

kweli wa una masters ya kufeki maukweli loh!!! ukifikia phd s utatumaliza???
 
Kumbe ni kweli!mie nilidhani maneno ya watu tu! Bht upo wapi mamaa mwenzio huku maji yamezidi unga.
stuka ZD, unaibiwa!, Oohooo abiria chunga mzigo wako gari inapita manzese kisha itakatiza hadi kule mtogole, kua makini!.
 
ZD MAMII, alikusudia kufanya hivo...ili apate wasaaa wa kukusaliti maana fiesta ulimbana ile mbaya

Nilindie mamaa mwenzio nampenda sana mchumba wangu Xpin.Si unaona hata hii thread inavosema?
 
Du hizi bahati zingine acha tu! Nimekamatika ile mbaya Nguli anajua....sina dalili ya kuacha wala kuachwa ....mapenzi ni lulu tamu! Pole Sweetbaby


Mzee respect, nimekukubali.....pale umekamatika, hata michango yako humu jamvini hatuioni.
 
stuka ZD, unaibiwa!, Oohooo abiria chunga mzigo wako gari inapita manzese kisha itakatiza hadi kule mtogole, kua makini!.

Afadhali bestimani umeingilia kati. bht anataka kumpindua ZD ujue! Tangu nguli alipoweka picha yangu na mausumbufu tu toka kwa huyu mchuchu. Dah! Uhendisam saa nyingine kumbe karaha!
 
Alafu kabiniti kamekuzoea sana, mgongoni mtoto tuli, atapata shida, pity her
 
Nilindie mamaa mwenzio nampenda sana mchumba wangu Xpin.Si unaona hata hii thread inavosema?

He! Yaani mwizi wako akulindie? Itakula kwako. Lakini siwezi kukusaliti. BHT anajisumbua bure tu. Kashindwa FL1 atakuwa yeye bana?
 
Back
Top Bottom