Ukiagiza bidhaa au gari na ukakwama ushuru ni vyema baada ya gari kufika ukapeleka Bonded Warehouse.

Ok,
Na hizo bonded muda wote tu zinakuaga Open, I mean zina nafasi??. Yaan huwezi kuleta gari labda halaf kipindi hicho bonded zikawa zimejaa zote ukakosa kabisa??
 
Ok,
Na hizo bonded muda wote tu zinakuaga Open, I mean zina nafasi??. Yaan huwezi kuleta gari labda halaf kipindi hicho bonded zikawa zimejaa zote ukakosa kabisa??
Bonded kwa Dar zipo nyingi sana mkuu zaidi ya 800+, nyingine mpaka wana offer ya bei na kutafuta wateja. Labda kama unapitisha bidhaa zako kwenye mipaka isiyochangamka mikoani
 
Nina swali mkuu ,hivi ukilipia gari bei yake na ushuru kwa pamoja kuna shida yoyote?na kipi bora kulipia ushuru bandarin ikishafika au kufanya malipo yote siku ikiwadia ni kuchukua tu gari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…