Ukiambiwa uagize chakula chako cha mwisho duniani kabla ya kunyongwa utaagiza nini?

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
Joined
May 3, 2020
Posts
2,415
Reaction score
3,924
Habari za humu Wana JF

Ni katika kuleta kitu tofauti tu ila hakina maana halisi na jinsi labda kusema ni itatokea kweli hapana ni kutoa tu mawazo kujiweka katika ile hali ya kuwa kuna kitu unatamani ule au ukipate,

Karibuni kwa mchango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…