Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Ooh, nimekupata.
Pamoja kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh, nimekupata.
Hahahaha ,tatizo sina, halafu mm sio kihiivyo
Pamoja kaka
Vzr sana ,wewe mutu muhimu sana ktk mada km hz nyie ndio wadau wenyeweSawa, tuendelee kuwa watazamaji.
Mimi nimeshawakilishwa tayari.
Huu ukaka umetoka wapi?
Vzr sana ,wewe mutu muhimu sana ktk mada km hz nyie ndio wadau wenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nafikiri ni kwenye hii familia mpya [emoji85][emoji85]
Anae kulala Yani sio[emoji179][emoji179][emoji179][emoji179]
Hahahaha, Mkuu kumbe wewe km mm hatufai popote pale ,hahahahaJaribu kupitia post zote uone kama nimetajwa hata mara moja.
Ukiona hivyo ujue hufai kitengo chochote cha familia humu
Hahahaha, Mkuu kumbe wewe km mm hatufai popote pale ,hahahaha
Huwa zikija hizi mada ,huwa kuna wadau wake hawakosi, nikajua na wewe umo
Hahahaha, nami nimejua hii siri ,huwa nasomaga post za watu Fulani hv ,Mara nyingi zikija hz mada huwa nazionaga id na post Fulani hvIla naelewa, ukitaka kutajwa lazima uwe karibu na wanaotaja.
Sasa sisi wengine ni full kujificha, hakuna namna.
Hahahaha, nami nimejua hii siri ,huwa nasomaga post za watu Fulani hv ,Mara nyingi zikija hz mada huwa nazionaga id na post Fulani hv
Hahahaha, asee ndio maana kumbe, kweli bila bilaLakini binafsi nashukuru, maana ukitajwa ujue na wewe unakuwa na deni la kutaja.
Kwa hiyo hii ya bila bila ni nzuri zaidi.
HahahahaUzi wa watu wasio na kazi wasio na chakufanya wapoteza muda
Anko Kataskopos yuko singo, mtafutie totoz nzuri basi!Sasa Uncle Kataskopos Aunty yangu ni nani? [emoji85][emoji85]
Sio kwamba ni maumivu ya kutotajwa popote? Hii ni chitchat tu usikaze shingo utaivunjaUzi wa watu wasio na kazi wasio na chakufanya wapoteza muda
Mume wangu Eli79
Watoto wetu
Heaven Sent
Zoë
Da vinci(dogo sijui anatumia jina gani now[emoji134]
Mtoto wa kambo Hazard CFC
Kaka Kataskopos na SHIMBA YA BUYENZE (huyu nahisi mama alibadilishiwa hospitali)
Dada Makiseo
Sasa kuna wale ma aunty zangu(panya)
Shunie
Sakayo
Family friends
amu
Hannah
Saint Anne
sumbai
Mnazareth
Mkuu kataskapos sio wewe unatajwa hapo chini ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anko Kataskopos yuko singo, mtafutie totoz nzuri basi!
Mimi bhana familia yangu kwa upande wa mume ndo kiboko,, naona Kuna vichwa Kama vitatu hivi ila Sasa tatizo lao Ni ngumi mkononi
Watoto mama, baba, babu, kaka, bibi nk hao watakaa member yeyote tu