Ukiambiwa uunde familia kwa kutumia member wa JF, familia yako itakuwaje?

Ukiambiwa uunde familia kwa kutumia member wa JF, familia yako itakuwaje?

Baba: Mshana
Mama: FaizaFox
Kaka: Kiranga
Dada: Mama Debora

Tutahitaji na msuluhishi wa kudumu wa familia, so
Msuluhishi: The boss

[emoji1]
Mshana atawaroga wote balaa😂😅😂😅😅
Hawana mtoto?.
 
chakorii mwambie huyo bwana mkubwa asikuchore atulizane, hii ni chit chat asichukulie serious mambo ya huku.
 
Baba Mkwe Kiranga na
Baba Mkwe Wadogo Nyani Ngabu na The Boss

Mama Mkwe mwenye roho ya dhahabu Sky Eclat
Mdogo wake Ma Mkwe @Kassie Matata kupunguza makali ya ukweni lol

Wifi FaizaFoxy hehe lol sema atakua anachamba huyuuu bora wifi mpole kama Heaven Sent

Mume Mtu Mzima mwenzangu RRONDO (ss sijui km una mkeo humu tiyari ohoo [emoji28][emoji28] whatevaa ntamtoa njeee)

watoto wetuu sss hii Baba watoto atawachagua...

shem wangu wa nguvu kaka ake RRONDO angekua Eli79 ...au mna familia yenu tiyari?.(japo tuwe ht family friends na sie hehe)

kaka yangu angekuwa Pascal Mayalla
Na Dada yangu miss chagga
Mdogo wangu mzurii angekuaa Paula Paul


mama yangu na Baba yangu ndo sijui kwa kweli
Basi Baba angekua The Boss na My Mummyy mhhh mbona mtihani....Baba The Boss mkeo nani?.

mamdogo mdogo wake Mama angekua lara 1 huyu KLM ana akili sio za nchi hii

vigezo;
I like smart and calm people like me[emoji5][emoji5]
karibuni kwenye familia yetu hehe[emoji5]
Waooohhhhh!!!!This is fantastic, thank you sis.
 
Back
Top Bottom