Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Unapoamua kumfanyia wema kiumbe mwanamke basi jitahidi sana umfanyie kwa kiasi, usijitoe saaana .utakapoamua kumnunulia gauni la laki mbili basi hakikisha wewe unavaa kiatu au saa yenye thamani zaidi ya laki mbili ya gauni ulilomnunulia. Kufanya hivi kutakusaidia kukuepusha na mambo makuu matatu pale mwanamke huyo mtakapokuwa mmeachana au amekusaliti.
(1) Kukuepusha na maumivu makali ya moyo hasa kwa kuona ulipoteza muda kumhudumia mtu ambaye hakukuthamini au kukupenda kiukweli.
( 2) Kuua au kumdhuru mwanamke. Hii imekithiri sana kipindi hiki na moja ya sababu kubwa za mauwaji au vitendo vya ukatiri ukimuhoji zaidi mwanaume aliefanya tukio hilo atakuambia "huyu mwanamke nilimpa kila kitu lakini alikuwa hatulii sijui alikuwa anataka nini!".
( 3) huwezi kuyumba kiuchumi au kuharibikiwa kimaisha. Siku zote mwanamke akiachana na mwanaume huyo huwa hapendi kumuona akiendelea kiuchumi anatamani kumuona mwanaume anaharibikiwa kabisa kimaisha au anapoteza ramani kabisa kama sio kuwa chizi au kufa kabisa😁
(1) Kukuepusha na maumivu makali ya moyo hasa kwa kuona ulipoteza muda kumhudumia mtu ambaye hakukuthamini au kukupenda kiukweli.
( 2) Kuua au kumdhuru mwanamke. Hii imekithiri sana kipindi hiki na moja ya sababu kubwa za mauwaji au vitendo vya ukatiri ukimuhoji zaidi mwanaume aliefanya tukio hilo atakuambia "huyu mwanamke nilimpa kila kitu lakini alikuwa hatulii sijui alikuwa anataka nini!".
( 3) huwezi kuyumba kiuchumi au kuharibikiwa kimaisha. Siku zote mwanamke akiachana na mwanaume huyo huwa hapendi kumuona akiendelea kiuchumi anatamani kumuona mwanaume anaharibikiwa kabisa kimaisha au anapoteza ramani kabisa kama sio kuwa chizi au kufa kabisa😁