Ukiamua kumfanyia wema mwanamke basi mfanyie wema Huo kwa kiasi

Ukiamua kumfanyia wema mwanamke basi mfanyie wema Huo kwa kiasi

Atafute wauza uji mtaan


Mtoto mzuri km wewe tunawawezasisi.tu 🤗

Nina kibunda cha buku tano naomba Tamu 😎
Akuuzie tu ....90% ya wanawake wanafanya biashara ya uchi direct au indirect kwa hiyo asikutishe huyo Wala asikubabaishe....
 
Kuna member hapa ana comment nitafute type yangu 😁😁😁 mpaka Mimi kuandika Haya nimejiridhisha vya kutosha. Mimi ni miongoni mwa wanaume walioowa mwanamke wa kiwango Cha chini sana..Mpaka leo mama yangu huwa ananiambia ilikuwaje wewe Mwizukulu mgikuru ukaowa mwanamke mbaya hivi? Mfupi mnene mweusii, kidato Cha nne aliferi Mimi mme wake Nina degree mbili, hata kuhesabu saa ya ukutani hajui yaani ni mbumbumbu mzungu wa reli..
Safi kabisa ,hapo siku ukiamua unawasiliana na mchepuko kwa ngeli mwanzo mwisho .

Ni mwendo wa how is you secret sex
 
Madam hata maandiko yanatueleza wazi kuwa tuishi nao kwa akili. Ni vema tukalijua hilo.
 
Fanya kama unatupa/kutoa msaada usiohitaji malipo yoyote mbeleni na sio kununua upendo/uaminifu.

Ni bora uwe mtu wa nipe nikupe, toa huduma unapoona unasikilizwa na unapata kile unachotaka toka kwake na pia kulingana na uwezo wako.

Zama hizi sio za kumhonga mwanamke ili akung'ang'anie.
 
Back
Top Bottom