Ukiamua Kuwa na Mahusiano na Mume wa Mtu Lazima Ukubali Kuwa Mtumwa wa Mambo Yafuatayo

Ni sawa tu maana wanaume tupo wachache wengine wanakutwa wamekufa kisa kuovadozi dawa ya nguvu za kiume huko Moshi, Rombo ndiyo hadi wanawake wanaenda kenya kufuata huduma, wakina kaoge nao rundo.
 
Na wengu wanajiwekeaga Nuksi
Akutembeana na mume wamtu jua na wa kwake ata tembea na wengine au ndio unakuta vijindoa vina chelewa chelewa
Karma is real[emoji23]
What goes around, comes around like a hula hoop.
Karma is a bitch, well just make sure that bitch is beautiful
 
Mwanamke anamuhitaji mwanamme kuliko mwanaume anavyomuhitaji mwanamke kwa kuwa mwanaume anakamilisha maumbile ya mwanamke..........
 
Vipi je ukiwa na uhusiano na mke wa mtu? Au ni kitonga hakuna mambo haya?
 
Sanaa wanatumia kama kisababu tuu hata si uwiano mkubwa kiviilee
Very soon utaangukia kwenye kundi la James delicious! Watch out. This is not the character of man. Ushabiki wako unaenda sambamba na KEs humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…