Ukiangalia ukwasi waliokuwa nao wafanyakazi wa bandari na ufanisi ni mdogo ni bora bandari ipewe mwekezaji

Ukiangalia ukwasi waliokuwa nao wafanyakazi wa bandari na ufanisi ni mdogo ni bora bandari ipewe mwekezaji

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Mod nakuomba huu uzi usiunganishe

Ukiangalia hapa duniani management ni tatizo kubwa tuliokua nao waafrika sehemu yeyote katika nchi za kiafrika watu wanapigania matumbo yao na sio uhai na ufanisi wa taasisi au kampuni husika.

Ukiangalia ukwasi waliokua nao wafanyakazi wa bandari binafsi nasupport 100 ibinafsiswe kwa mwekezaji kwa sababu ni ukweli uliokua wazi wafanyakazi walio wengi wanapigania matumbo yao na sio kuongeza ufanisi wa bandarini.

Wako watu watakaopinga lakin serekali imefanya kitu sahihi haiwezekan tunakuw na role model wa watoto wetu ni wafanyakazi wa sehemu husika mishahara yao ni ya kawaida ila ni mabilionea.

Madhara yake tunatengeneza kizazi kinachoamin shortcut, rushwa na connection, kamwe kizazi hiko hakiwez amini kujituma ili uwe tajiri.

Serekali ijukite kwenye kukusanya kodi na sio bandari hata mwendokasi atafutwe mwekezaji waachane na watu wababaishaji

Na kwa sekta kama TRA ambazo huwezi binafsisha wawe wanafanya thoroughly Lifestyle auditing sababu TRA alone kuna mabilionea kibao ambao utajir wao hauna maelezo ya kujitosheleza na imagine hawa ndo role model wa watoto wetu
 
Hii ni justification ya ajabu kidogo. Kabla ya yote sidhani kuna mfanyakazi wa TPA ni bilionea, hapa chumvi imezidi. Tz tuna mabilionea wachache Sana

Pili, hapa Ni kuhamisha huo unaoita ukwasi kutoka kwahao unaosema wabongo kwenda kwa hao wawekezaji wapya. Sasa utachagua ukwasi ubaki kwa wabongo au uende kwa hao wageni

Tatu hili suala la kusema serikali ibaki kukusanya Kodi ni kichaka tu, ni uongo mkubwa. Kwenye madini mbona mmeshindwa kukusanya?
Wewe unasimamia bandari, wafanyakazi wapo chini yako na chini ya sheria kali lakini bado umeshindwa kukusanya Kodi, utaweza kwa hao ambao ni werevu na wajuzi?

Soma cases ambazo hao dp world wanazo huko kwingine uone jinsi wanavyokwepa Kodi, njoo ujiulize Tz hii tunayoijua ni maajabu gani yatatokea kuwafanya muweze kupata Kodi yenu stahiki
 
Hii ni justification ya ajabu kidogo. Kabla ya yote sidhani kuna mfanyakazi wa TPA ni bilionea, hapa chumvi imezidi. Tz tuna mabilionea wachache Sana

Pili, hapa Ni kuhamisha huo unaoita ukwasi kutoka kwahao unaosema wabongo kwenda kwa hao wawekezaji wapya. Sasa utachagua ukwasi ubaki kwa wabongo au uende kwa hao wageni

Tatu hili suala la kusema serikali ibaki kukusanya Kodi ni kichaka tu, ni uongo mkubwa. Kwenye madini mbona mmeshindwa kukusanya?
Wewe unasimamia bandari, wafanyakazi wapo chini yako na chini ya sheria kali lakini bado umeshindwa kukusanya Kodi, utaweza kwa hao ambao ni werevu na wajuzi?

Soma cases ambazo hao dp world wanazo huko kwingine uone jinsi wanavyokwepa Kodi, njoo ujiulize Tz hii tunayoijua ni maajabu gani yatatokea kuwafanya muweze kupata Kodi yenu stahiki
Yote Tisa, mkataba wa 100 miaka?? Kivipi kwanza?? Hawa watu wanapaswa kuchomwa moto
 
Hii ni justification ya ajabu kidogo. Kabla ya yote sidhani kuna mfanyakazi wa TPA ni bilionea, hapa chumvi imezidi. Tz tuna mabilionea wachache Sana

Pili, hapa Ni kuhamisha huo unaoita ukwasi kutoka kwahao unaosema wabongo kwenda kwa hao wawekezaji wapya. Sasa utachagua ukwasi ubaki kwa wabongo au uende kwa hao wageni

Tatu hili suala la kusema serikali ibaki kukusanya Kodi ni kichaka tu, ni uongo mkubwa. Kwenye madini mbona mmeshindwa kukusanya?
Wewe unasimamia bandari, wafanyakazi wapo chini yako na chini ya sheria kali lakini bado umeshindwa kukusanya Kodi, utaweza kwa hao ambao ni werevu na wajuzi?

Soma cases ambazo hao dp world wanazo huko kwingine uone jinsi wanavyokwepa Kodi, njoo ujiulize Tz hii tunayoijua ni maajabu gani yatatokea kuwafanya muweze kupata Kodi yenu stahiki
Wafanyakazi wa tpa Wapo wengi tu mabilionea
 
Mod nakuomba huu uzi usiunganishe

Ukiangalia hapa duniani management ni tatizo kubwa tuliokua nao waafrika sehemu yeyote katika nchi za kiafrika watu wanapigania matumbo yao na sio uhai na ufanisi wa taasisi au kampuni husika

Ukiangalia ukwasi waliokua nao wafanyakazi wa bandari binafsi nasupport 100 ibinafsiswe kwa mwekezaji kwa sababu ni ukweli uliokua wazi wafanyakazi walio wengi wanapigania matumbo yao na sio kuongeza ufanisi wa bandarini

Wako watu watakaopinga lakin serekali imefanya kitu sahihi haiwezekan tunakuw na role model wa watoto wetu ni wafanyakazi wa sehemu husika mishahara yao ni ya kawaida ila ni mabilionea

Madhara yake tunatengeneza kizazi kinachoamin shortcut, rushwa na connection, kamwe kizazi hiko hakiwez amini kujituma ili uwe tajiri

Serekali ijukite kwenye kukusanya kodi na sio bandari hata mwendokasi atafutwe mwekezaji waachane na watu wababaishaji
Kwamba kwa sababu hiyo tu basi Bandari ibinafsishwe!!!!

Tukibaini TRA tija imeshuka tunabinafsisha,

Tukibaini Tija za Wizara na Mamlaka za Serikali za Mitaa zimeshuka Tunabinafsisha!!

Hivi siku tukibaini Rais hatoshi tutabinafsisha nini?

Muhimu ni kuimarisha Taasisi na vyombo vyetu tulivyovipa kazi kutusimamia vifanye kazi zao kwa Uadilifu.
 
Wazee wa bandari wamesumbua sana hapa mjini. Imagine msukule wa utopolo na kurukaruka kwake alinasa kwa mzee Tozi wa bandarini. Sisi wengine ukimhonga demu elfu 30 unaiwazia hesabu za kesho wenzetu wanahonga magari na nyumba.
 
Kwamba kwa sababu hiyo tu basi Bandari ibinafsishwe!!!!

Tukibaini TRA tija imeshuka tunabinafsisha,

Tukibaini Tija za Wizara na Mamlaka za Serikali za Mitaa zimeshuka Tunabinafsisha!!

Hivi siku tukibaini Rais hatoshi tutabinafsisha nini?

Muhimu ni kuimarisha Taasisi na vyombo vyetu tulivyovipa kazi kutusimamia vifanye kazi zao kwa Uadilifu.
Nimesema ufanisi ni mdogo na ni kweli bandari ya dar es salaam ufanisi ni mdogo
 
Wazee wa bandari wamesumbua sana hapa mjini. Imagine msukule wa utopolo na kurukaruka kwake alinasa kwa mzee Tozi wa bandarini. Sisi wengine ukimhonga demu elfu 30 unaiwazia hesabu za kesho wenzetu wanahonga magari na nyumba.
Watu wanaongea sababu hawawajui vizuri wafanyakazi wa bandari wengi wao sio wote ni mafisadi wakubwa wako pale kuneemesha familia zao
 
Kwamba kwa sababu hiyo tu basi Bandari ibinafsishwe!!!!

Tukibaini TRA tija imeshuka tunabinafsisha,

Tukibaini Tija za Wizara na Mamlaka za Serikali za Mitaa zimeshuka Tunabinafsisha!!

Hivi siku tukibaini Rais hatoshi tutabinafsisha nini?

Muhimu ni kuimarisha Taasisi na vyombo vyetu tulivyovipa kazi kutusimamia vifanye kazi zao kwa Uadilifu.
Muafrika na uadilifu ni mashariki na magharibi
 
Mod nakuomba huu uzi usiunganishe

Ukiangalia hapa duniani management ni tatizo kubwa tuliokua nao waafrika sehemu yeyote katika nchi za kiafrika watu wanapigania matumbo yao na sio uhai na ufanisi wa taasisi au kampuni husika

Ukiangalia ukwasi waliokua nao wafanyakazi wa bandari binafsi nasupport 100 ibinafsiswe kwa mwekezaji kwa sababu ni ukweli uliokua wazi wafanyakazi walio wengi wanapigania matumbo yao na sio kuongeza ufanisi wa bandarini

Wako watu watakaopinga lakin serekali imefanya kitu sahihi haiwezekan tunakuw na role model wa watoto wetu ni wafanyakazi wa sehemu husika mishahara yao ni ya kawaida ila ni mabilionea

Madhara yake tunatengeneza kizazi kinachoamin shortcut, rushwa na connection, kamwe kizazi hiko hakiwez amini kujituma ili uwe tajiri

Serekali ijukite kwenye kukusanya kodi na sio bandari hata mwendokasi atafutwe mwekezaji waachane na watu wababaishaji
nakuunga mkono kwa asilimia mia. Tahadhari: mchwa mfano waliopo bandarini utakuta ni hao hao watakaoingia mikataba kwa niaba ya serikali na wawekezaji na hivyo serikali kuingizwa katika mikataba isiyokuwa na tija huku hao mchwa wachache wakinufaika na keki ya wote.
 
Kwani utofauti kati ya TICTS na hao DP WORLD upoje katika uendeshaji wa bandari? Maana kwa maelezo ya mleta mada naona kama wafanyakazi wote wa bandari watapuruliwa, au imekaaje hii?
 
... kwa hiyo kuna redundancy inaenda kutokea! I see more than 75% ya kazi zikifanywa na maroboti; shughuli ipo.
 
Back
Top Bottom