Ukianza kuona dalili hizi kwenye uchumi ni muda wa kuchukua tahadhari

Kipindi hiki ndio stimulus package ya kuuchangamsha uchumi inatakiwa, sio wakati ule wa awamu iliyopita zikatolewa na kama sifa ya awamu ile, zikatafunwa na waliopata fursa, wakati hakukuwa na mdororo wowote Tz.
 
Kipindi hiki ndio stimulus package ya kuuchangamsha uchumi inatakiwa, sio wakati ule wa awamu iliyopita zikatolewa na kama sifa ya awamu ile, zikatafunwa na waliopata fursa, wakati hakukuwa na mdororo wowote Tz.
Hutakiwi kutoa stimulus package katika uchumi unaoanguka kutokana na shortsighted near term government policy.

Stimulus package inatolewa kwenye recessionary crisis.

Muanguko wa sasa wa uchumi kwa kiasi kikubwa unatokana na serikali ya awamu ya tano kukataa kusikiliza ushauri wa wataaalam.

Sasa ukiweka stimulus package mara baada ya kufungia hela zote BOT kinyume na ushauri wa wataalam, utakuwa unaweka conflicting policies.

Hizo hela kuwekwa nje ya BOT tu ni stimulus package, ambayo umeiondoa kinyume na ushauri wa wataalam.

Sasa umeondoa stimulus package halafu ulete tena stimulus package, unarudi nyuma hatua moja, unaenda mbele hatua moja.

Utakuwa unajua kwamba unataka kurudi nyuma au kuenda mbele?
 
Ni upuuzi kujadili makosa ya kiuandishi badala ya kuangalia fact
 
Siku zote kabla sijasoma kilichomo naangalia Nature ya paragraph napata jibu halaf naamua nionekane mvivu au nisome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…