Khadija Mtalame
Senior Member
- Jul 14, 2021
- 185
- 715
Habari wanajukwaa;
Napenda kutoa ufafanuzi kidogo kwamba
Chanjo iliyoanza kutolewa Ni covid viral living matter ambae anawekwa kwenye mwili wa binadamu Kupambana na viral aliepo mwilini,
Hivyo ,ukidungwa chanjo hiyo,ikakutana na viral aliepo mwilini tayari ana nguvu hapo ndo utasikia,kwamba mtu kachomwa chanjo na anaumwa(hapo Ni kwamba yule mdudu uliewekewa kazidiwa nguvu na viral aliepo mwilini mwako kutokana na immune yako kuwa chini
Hivyo twashauriwa kula vizuri pia tuepuke stress,hii inasaidiq kuuweka mwili wako ktk Hali salama na Safi kabisa,endapo hata Kama utapokea chanjo,itasaidia kuliweka strong wakati viral wanapambana kutengeneza Kinga!
Kwa hiyo,napenda kumaliza kwa kusema kwamba, ile chanjo unayochanjwa Ni kwamba unawekewa mdudu ambae anafanana na corona na ambae atakuwa na nguvu kuliko wa corona,wakiwa wanapambana uliewekewa atashinda na kifo litakuwa historia!
Lakini, chanjo itakwua thabiti tu Kama unakula vizuri na unafanya mazoezi!
Mwisho ,ukichanjwa bado utaugua tu!
Hivyo,tile vizuri na tuzilinde afya zetu
Naitwa Khadija(mtaalamu wa lishe na afya ya binadamu -SUA)
Napenda kutoa ufafanuzi kidogo kwamba
Chanjo iliyoanza kutolewa Ni covid viral living matter ambae anawekwa kwenye mwili wa binadamu Kupambana na viral aliepo mwilini,
Hivyo ,ukidungwa chanjo hiyo,ikakutana na viral aliepo mwilini tayari ana nguvu hapo ndo utasikia,kwamba mtu kachomwa chanjo na anaumwa(hapo Ni kwamba yule mdudu uliewekewa kazidiwa nguvu na viral aliepo mwilini mwako kutokana na immune yako kuwa chini
Hivyo twashauriwa kula vizuri pia tuepuke stress,hii inasaidiq kuuweka mwili wako ktk Hali salama na Safi kabisa,endapo hata Kama utapokea chanjo,itasaidia kuliweka strong wakati viral wanapambana kutengeneza Kinga!
Kwa hiyo,napenda kumaliza kwa kusema kwamba, ile chanjo unayochanjwa Ni kwamba unawekewa mdudu ambae anafanana na corona na ambae atakuwa na nguvu kuliko wa corona,wakiwa wanapambana uliewekewa atashinda na kifo litakuwa historia!
Lakini, chanjo itakwua thabiti tu Kama unakula vizuri na unafanya mazoezi!
Mwisho ,ukichanjwa bado utaugua tu!
Hivyo,tile vizuri na tuzilinde afya zetu
Naitwa Khadija(mtaalamu wa lishe na afya ya binadamu -SUA)