Ukicheza Simba SC hakuna lisilowezekana - Pape O. Sakho athibitisha kwa vitendo

Haya ndiyo mambo twataka yasikia

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Rungu la utosini🦁 mmempiga Kwa wivu wa mafanikio yake ndani ya mabingwa wakihistoria🤔
 
Hata huyu jamaa yao aliyepigwa "rungu la utosini" jana na Kamati ya Maadili TFF, sehemu kubwa ya followers wake anaotamba nao leo, aliwapata akiwa Simba SC,
Acha uchokozi aisee..
 
"Tanzanian Side Simba" this is from BBC.

Sasa hebu zunguka huko ulimwenguni uwaulize kama wanaijua utopolo?!

Wakikuuliza ndio nini hicho, waambie ni aina ya vyura wa kipekee wanaopatikana Tanzania.
🤣🤣🤣
 
Jaribuni kutohusisha Simba kwenye hili swala la Sakho kubeba tunzo,mkihusisha Simba kuna watu wanaumia wanateseka maumivu wanayopata ni makubwa mno.
Tena wateseke na kuumia ndani kwa ndani hatuhitaji kusikiliza kelele zao.

Watuacheeeeeeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena wateseke na kuumia ndani kwa ndani hatuhitaji kusikiliza kelele zao.

Watuacheeeeeeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna shabiki wa mnyama yupo tawi la Yanga muda huu anawaingiza kingi anawapa ushahidi wa undugu wa damu wa Sakho na Sadio Mane[emoji23][emoji28].
Na Uto yalivyo mazuzu eti yamekaa kimyaa yanamsikiliza[emoji23][emoji28]
 
Kuna shabiki wa mnyama yupo tawi la Yanga muda huu anawaingiza kingi anawapa ushahidi wa undugu wa damu wa Sakho na Sadio Mane[emoji23][emoji28].
Na Uto yalivyo mazuzu eti yamekaa kimyaa yanamsikiliza[emoji23][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeeh hiyoooo.
 
Usithubutu kutafsiri ulichoandika waache hivyo hivyo manake pale wenye akili watakaoelewa ulichoandika ni wawili2 Baba yake Manyara pmja na Muheshimiwa JK, hao waliosalia hawaijui hta BBC
 
Na saiz tuko na enock inonga baka, tayari 95% ashapata tuzo
 
Nikweli Ukichezea Simba hakuna linalo shindikana, kitendo Cha kufanya mambo ya kishirikina uwanjani Kwa kuwasha moto Tena ugenini nimeamini Kwa Simba hakuna linalo shindikana.
Mnateseka sana mkiwa uchochoro gani?
 
Hatimae kombe limepatikana
Tulishayabeba ya ndani sana mpaka tumechoka, tunasubiri la klabu bingwa Afrika ndio tukodishe basi la wazi, sio nyie mnakodisha basi kwa kombe Simba SC walilochoka kulibeba...
 
Usithubutu kutafsiri ulichoandika waache hivyo hivyo manake pale wenye akili watakaoelewa ulichoandika ni wawili2 Baba yake Manyara pmja na Muheshimiwa JK, hao waliosalia hawaijui hta BBC
Aisee..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan lazima utake kulaonesha una furaha, akati ni maumivu na mateso mwanzo mwengaaaa.??

Byuti byuti.
Na haya maumivu hayamalizwi na Panadol..sharti watuliee mpaka yaishe yenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…