Ukichukiwa kama Meghan hakuna zuri utafanya lionekane

Ukichukiwa kama Meghan hakuna zuri utafanya lionekane

Ila Meghan asije akamuacha Harry jamani ame sacrifice Sana yule kaka...
Maana Wamarekani wanajulikana suala la uvumilivu ndoani hawalijui kabisa....kosa dogo tu mtu ana file for divorce
 
Waingereza ni Waswahili walichangamka Yaani watu wale ni wakuda balaa Yaani wambea wambea wanapenda kufuatikia maisha ya watu na kuyajadili ,hiyo Tabia mbaya wameiacha hata Kwenye makoloni Yao Kama India na Tanganyika ikiwemo!
Kama huamini angalia magazeti Yao na majarida ya udaku ndio utawajua waingereza vizuri
hahaahaaa zile za
' Mganga wa diamond Toka kigoma anena mazito'!

Pale London utakuta
How Mergan Vodoo Wizard from Haiti traped Prince Harry!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]umevunja mkuu
 
Back
Top Bottom