HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Wachawi ni wengi mno na wanapinga vitu visivyo na msingi, mtu anaugua ndio anakimbilia kukata bimaKupinga mifumo kama hii nao ni uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachawi ni wengi mno na wanapinga vitu visivyo na msingi, mtu anaugua ndio anakimbilia kukata bimaKupinga mifumo kama hii nao ni uchawi
Usitegemee cha bure, hakuna nchi inayokua itakupa cha bureKama hiyo bima ni Bure , itawasaidia watu wengi, lakin kama ni ya kulipia kwa lazima, Ili nipate NIDA, passport, TIN ,lazima niwe na bima , naipinga bima ya kijambazi mpaka dk ya mwisho.
Ukweli usemwe, serikali rudisheni madeni mnayo daiwa na nhif na sio kuwatupia wananchi mzigo huo, kumbukenini tuna tozo tayar, alafu tena bima ya utake usitake
Alikuwa na bima kabla ya ugonjwa, usilete upotoshaji usio na tija.Sasa unamkatia mgonjwa bima ulitegemea nini?
Wewe ndo mpotoshajiAlikuwa na bima kabla ya ugonjwa, usilete upotoshaji usio na tija.
Mpotoshaji kwamba mzee wangu alipata bima baada ya kuanza kuugua ama?Wewe ndo mpotoshaji