Kama hiyo bima ni Bure , itawasaidia watu wengi, lakin kama ni ya kulipia kwa lazima, Ili nipate NIDA, passport, TIN ,lazima niwe na bima , naipinga bima ya kijambazi mpaka dk ya mwisho.
Ukweli usemwe, serikali rudisheni madeni mnayo daiwa na nhif na sio kuwatupia wananchi mzigo huo, kumbukenini tuna tozo tayar, alafu tena bima ya utake usitake