Ukienda kununua mbao nenda na Mita yakoo binadamu wamekuwa Simba nwdays

Ukienda kununua mbao nenda na Mita yakoo binadamu wamekuwa Simba nwdays

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
SIO MBAYA wajenxi kukumbushana wapendwa

Najua mpaka tunajenga tunahangaika sana sana kuweza kujenga

Hizi changamoto utazikuta wakati WA ujenzi

Ukiwa unaenda kununua mbao hasa pale buguruni

Nenda na mtr yako..na usiwambie kama una MITA yako malizeni ku bargain sh ngapi kwa futi mkifika kupima toa yako

Ukiona ukagoma hao n WEZI na majambazi wakimbie mpendwa

Kwenye kila MITA Moja mpaka 20

HAPO KUNA MITA 18 tu

Wanachofanya zile MITA zao wanazikata katikati
Eg
1-15
Wanakata8-10
Inaungwa kwenye 11-nk
HAPO kila mbao wanaondoka na pesa ya maana

NDugu ukinunua nyingi kilioo mpendwaaaaaaaa

Mjitahidi mkinunua MNALOO nendeni na Mita zenu
 
SIO MBAYA wajenxi kukumbushana wapendwa

Najua mpaka tunajenga tunahangaika sana sana kuweza kujenga

Hizi changamoto utazikuta wakati WA ujenzi

Ukiwa unaenda kununua mbao hasa pale buguruni

Nenda na mtr yako..na usiwambie kama una MITA yako malizeni ku bargain sh ngapi kwa futi mkifika kupima toa yako

Ukiona ukagoma hao n WEZI na majambazi wakimbie mpendwa

Kwenye kila MITA Moja mpaka 20

HAPO KUNA MITA 18 tu

Wanachofanya zile MITA zao wanazikata katikati
Eg
1-15
Wanakata8-10
Inaungwa kwenye 11-nk
HAPO kila mbao wanaondoka na pesa ya maana

NDugu ukinunua nyingi kilioo mpendwaaaaaaaa

Mjitahidi mkinunua MNALOO nendeni na Mita zenu
Black people with black mind and heart
 
Binadamu hataree sana hawajui HATA kama KUNA mfungoo
 
Back
Top Bottom