Ukienda kwa shehe akikupa vikaratasi kama hivi uwe unavibeba ama kuviweka chumbani vichane na usirudi tena kwake, ni uchawi mtupu

Ukienda kwa shehe akikupa vikaratasi kama hivi uwe unavibeba ama kuviweka chumbani vichane na usirudi tena kwake, ni uchawi mtupu

Mkuu ndo mana sisi waislamu wa Sunni(Salafi) tunawapiga vita sana masheikh hawa mchongo

Kma ulivosema ni kweli hapo ni uchawi tu huo hamna kitu kingine na Mungu katika kitu ambacho hakipendi ni shirki

( وَلَقَدْ أُوحِيَ إِلَيْكَ وَإِلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكَ لَئِنْ أَشْرَكْتَ لَيَحْبَطَنَّ عَمَلُكَ وَلَتَكُونَنَّ مِنَ الْخَاسِرِينَ )

الزمر (65) Az-Zumar

Na kwa yakini yamefunuliwa kwako na kwa walio kuwa kabla yako: Bila ya shaka ukimshirikisha Mwenyezi Mungu a'mali zako zitaanguka, na lazima utakuwa miongoni mwa wenye kukhasiri.

Kuna watu wanauchukia Uislamu kisa hawa masheikh wa mchongo humu pia wamo wanajifanya kutafsiri ndoto sijui nn ni uongo mtupu
Wanafiki wataingizwa Jahanam ya chini kabisa jihadhari usiwe mmoja wao.
Kwanza huna maarifa ya kujua tofauti ya uchawi na shirk wewe ni mpumbavu namba 21

Eti "Kma ulivosema ni kweli hapo ni uchawi tu huo hamna kitu kingine na Mungu katika kitu ambacho hakipendi ni shirki"

Unaoanisha vitu viwili tofauti kwa kudhani ni kimoja unafiki gani unaojisifia hapo?
Una utakatifu gani wewe wa kujua upo kwenye njia iliyonyooka?

huna tofauti na mpuuzi mwenye kusema lile ambalo halijui mwanzo wala mwisho wake "Asilimia yenu kubwa ni wapumbavu japo wamo katika nyinyi wenye hekima na hao ndio watakao pata mwisho mwema sio wewe mnafiki wa kusahau "walmunafiquna fi nar jahanam (TENA WANAFIKI WATACHOMWA MOTO WA CHINI KABISA)

Wapo katika nyinyi wanao wasikiliza wanazuoni na kisha wakajenga nao hoja...
Na wapo katika nyinyi wanaowasikiliza wanazuoni kisha wakawaua kwa misingi ya historia....
Na nyie ndio wenye kusababisha waislamu kuonekana magaidi.....

kujiitaa ansaar hakukufanyi wewe kuwa ansaar wala kujinadi wewe salaf hakukufanyi wewe kuwa Salaf kamili hivyo hivyo kwa waislam unavyowaona ni waislamu wengine majina tu..
wewe ni kina kila wa kala wala usijiite Ansaar kwa maana hata ansaar wenzio watajua kwa nini nimekwambia hivi...

Hakuna Ansaar ambaye hana hekima ya hoja wewe ndio wa kwanza na Bye the way unatofauti gani wewe na mashiah?

Rakims
 
Yan wewe kweli mpumbavu na hyo sunni yako washamba wa tupu....
Allah anasema magonjwa yote yanatoka kwake na tiba zinatoka kwenye kitabu chake...
Sasa kw taarfa yako,hiyo tarasimu ya kwanza hapo juu..manuizo yake ni kusomea BARAHATIHI 11...Halafu unaleta aya nusu unadhn cc wajnga?
Kama haitoshi anasema yote hapo ni ushirikina Hadi jina la Mungu na malaika wake yapo hapo anasema ni Ushirikina hivi hawa wana Mungu wao wenyewe au ni vipi yaani?

Rakims
 
Ujinga ukizidi ndo unakua kma ww


Embu twambie wapi tumeambiwa tutumie iyo talasimu ulosema embu niletee hadithi au aya ata moja inoruhusu kutumia matalasimu

Hlf usipende kupinga pinga vitu usivokua na Elimu navyo
Akikujibu na wewe niambie wapi tumeambiwa waislamu waitane washirikina wao kwa wao au wewe una dini yako ni Mungu wako?

Rakims
 
Uchawi ni ulozi huo wa kawaida unaoujua, ushirikina ni kukipa sifa za uungu kisichokua Mungu mwenyezi
Sahihi ni Sahihi tu hata kama hakuna anaejua na Makosa ni makosa tu hata kama watu wote wanafanya....
Kuna kafiri hapo limenikufurisha hata halijua nimetokea wapi linajivika kivuli cha salafi kama salafi wote wapo hivyo tupo kwenye hasara...

Rakims
 
Sifuti ukweli lazima usemwe tuu

Nani kasaidika na hizo shirki zake?
Wewe kigoda hii makala sio yangu nimekujibu kutegemea na ulichoandika halafu mwisho wa siku nisijekuwa nachanganyikiwa kwa maana naongea na kigoda changu cha motoni.....

Mwisho wa yote vichaa hawaandikiwi zambi kwa hivyo twende tu.

Rakims
 
Leta andiko la Biblia kuthibitisha hayo uliyoyasema.
Mathayo 7:21
Si kila mtu aniambiaye, 'Bwana, Bwana,' atakayeingia katika Ufalme wa Mbinguni, bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.?????

Rakims
 
Wamaalifatu dinu biadila.
Manhaji iliyosalimika.

Me ni nawakubali sana masalafi sema dunia tu inanihadaa sana.
Hongera sisi wengine Tumekubali kumfuata mtume ambaye aliyekuwa laini na Rahimu kwa kila mtu hadi wengi wakatamani kumfuata.....

Binafsi simkubali mtu anaemuita baba yake kafiri kisa yeye kasilimu... Tunamitizamo tofauti sana ndio maana tukagawanyika makundi makundi na In shaa Allah mwenyezi Mungu ajalie mwisho wetu sote liwe ni Kundi ambalo yeye Mwenyezi Mungu ataridhia nalo....

Ila huyu ndugu yako Akhii ni kafiri kufurah shirki.... na atakuwa kigoda changu cha motoni either aombe radhi kwa dhana aliyoniwekea.

Rakims
 
Hua nashangaa sana kuona mtu akiamn ujinga huu.
Kama wewe ni Mkristo yah ni Ujinga asilimia mia 600....
Lakini kama wewe ni Muislam kuna kitu ukikiona humo ama hata kama ni mkristo mwenye kujua kiarabu lazima tu utasita kusemea baya..

Rakims
 
Uchawi si ushirikina,ni uelewa mbaya tu juu ya shirki,malaika walifundisha uchawi hawakufundisha shirki,wanaoitwa washirikina kwenye Quran walikua wakiabudu sanamu,acha kujitia una elimu Sana na umeongoka na usalafi wako mnaogeuza wanazuoni kuwa miungu kwa kufuata fatwa zao badala ya Quran
Hapana kuna wanazuoni wao wana hekima kuliko wao hawa ni wale kila wa kala yaani wao hata sheikh wao akisema leo wote twendeni chooni hawafikirii chochote wanaenda.

Japo wapo katika wao wanahekima na ni Masalafi salafi hasa yaani wako sahihi ila kuna huyu akhii kashapigwa na jua la mchana tabora kaona ngoja nikawaite watu washirikina kwenye JF.

Rakims
 
Mungu ndo alimpa uwezo Suleiman


( فَتَبَسَّمَ ضَاحِكًا مِّن قَوْلِهَا وَقَالَ رَبِّ أَوْزِعْنِي أَنْ أَشْكُرَ نِعْمَتَكَ الَّتِي أَنْعَمْتَ عَلَيَّ وَعَلَىٰ وَالِدَيَّ وَأَنْ أَعْمَلَ صَالِحًا تَرْضَاهُ وَأَدْخِلْنِي بِرَحْمَتِكَ فِي عِبَادِكَ الصَّالِحِينَ )

النمل (19) An-Naml

Basi (Sulaiman) akatabasamu akacheka kwa neno hili, na akasema: Ee Mola wangu Mlezi! Nizindue niishukuru neema yako uliyo nineemesha mimi na wazazi wangu, na nipate kutenda mema uyapendayo, na uniingize kwa rehema yako katika waja wako wema.
Wewe ni mtoto sana katika elimu ya dini na pia uandishi wako tu unaonyesha ni kijana aliyepigwa na maisha kiasi cha kwamba hajielewi..

Mwenzio kaandika Mtume S.A.W unamkosoa halafu wewe unaandika Mungu kama kweli wewe ni salaf huwa wanakaitikadi ka uandishi kuwa Mungu ni Allah...

Vile vile wako sawa shida kwako wewe dogo hujasoma umeokota okota elimu kisha unashare na Sheikh Google ndio unazidi kupotea kabisa.

Neno Mungu lina wingi Miungu ina maana kwa kusema hivyo umemaanisha Moja kati ya Miungu wengi waliopo ulimwenguni ndio alimpa uwezo suleiman...

Ulitakiwa ujibu ni Mwenyezi Mungu kupitia Malaika Gabriel (Jibril As) pia ulitakiwa uweke aya ambayo inaendana na jibu ili hata ambaye hajui ajue....

Dogo tafuta mwalimu mzuri usipotoke na wasema hovyo weka aya kama


Acha kukurupuka dogo utajikuta unachekwa sema:

Mwenyezi Mungu (kidogo watu wataelewa umemaanisha mmoja) kama vile unavyojinadi upo salafi....

Ungelink aya kama hizi;

Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi.
An Nisaa 163

Quran: An-naml 15
Na hakika tuliwapa Daudi na Sulaiman ilimu, na wakasema: Alhamdu Lillahi, Kuhimidiwa kote ni kwa Mwenyezi Mungu aliye tufadhilisha kuliko wengi katika waja wake Waumini.

Quran: An-naml 16
Na Sulaiman alimrithi Daudi, na akasema: Enyi watu! Tumefunzwa usemi wa ndege, na tumepewa kila kitu. Hakika hii ni fadhila iliyo dhaahiri.

Hivyo ungetoa aya zinazorelate na maelezo yako sio unajibu kama umetoka kulamba mihogo

Rakims
 
Uhakika nilionao ni kuwa hakuna aya yoyote katika biblia yoyote iliyomnukuu Bwana Yesu akisema Mimi ni mungu na mniabudu mimi.

Kuhusu upotoshaji sisemi mimi, ni hao wanaoziandika biblia ndio wanaosema



All versions are not saying the same thing!


This chart is by no means complete.​


Most Christians recognize the New World Translation (NWT - Jehovah's Witness Bible) for the corrupt work it is.

What most Christians don't recognize is the same corruption in their own "Christian" bibles!






AV (King James)New InternationalNew American StandardNew World Translation
Hos 11:12…but Judah yet ruleth with God, and is faithful with the saints.Judah is unruly against God, even against the faithful Holy One.Judah is also unruly against God, even against the Holy One who is faithful.Judah is yet roaming with God, and with the Most Holy One he is trustworthy.
Mt 9:13for I am not come to call the righteous, but sinners to repentance.For I have not come to call the righteous, but sinners.For I did not come to call the righteous, but sinners.For I came to call, not righteous people, but sinners.
Mt 18:11​
For the Son of man is come to save that which was lost.​
OMITTED​
footnote casts doubt​
OMITTED​
Mt 19:17Why callest thou me good?"Why do you ask me about what is good?""Why are you asking me about what is good?""Wny do you ask me about what is good?"
Mt 25:13Ye know neither the day nor the hour wherein the Son of man cometh.You do not know the day or the hour.You do not know the day nor the hour.You know neither the day nor the hour,
Mk 10:24…how hard it is for them that trust in riches to enter into the kingdom of God!…how hard it is to enter the kingdom of God!…how hard it is to enter the kingdom of God!…how difficult a thing it is to enter into the kingdom of God!
Lk 2:33And Joseph and his mother,,,The child's father and mother…His father and mother…its father and mother…
Lk 4:4Man shall not live by bread alone, but by every word of God.Man does not live on bread alone.Man shall not live on bread alone.Man must not live by bread alone.
Lh 4:8​
Get thee behind me, Satan.​
OMITTED​
OMITTED​
OMITTED​
Jn 6:47He that believeth on me hath everlasting life.He who believes has everlasting life.He who believes has eternal life.He that believes has everlasting life.
Jn 8:9​
And when they heard it, being convicted by their own conscience, went out…​
…those who heard began to go away…​
…when they heard it, they began to go out one by one…​
OMITTED​
Jn 9:4I must work the works of him that sent me.We must do the work of him who sent me.We must work the works of Him who sent Me.We must work the works of him that sent me.
Jn 10:30I and my Father are oneI and the Father are one.I and the Father are one.I and the Father are one.
Ac 2:30that of the fruit of his loins, according to the flesh, he would raise up Christ to sit on his throne;…he would place one of his descendants on his throne.…to seat one of his descendants upon his throne.…he would seat one from the fruitage of his loins upon his throne.
Ac 8:37​
If thou believest with all thine heart, thou mayest. And he answered and said, I believe that Jesus Christ is the Son of God.
OMITTED​
footnote casts doubt (some editions just omit it)​
OMITTED​
Ac 23:9​
Let us not fight against God.​
OMITTED​
OMITTED​
OMITTED​
Rom 13:9​
Thou shalt not bear false witness.
OMITTED​
OMITTED​
OMITTED​
Co 1:14In whom we have redemption through his blood, even the forgiveness of sins.In whom we have redemption, the forgiveness of sins.In whom we have redemption, the forgiveness of sins.By means of whom we have our release by ransom, the forgiveness of our sins.
1Ti 3:16God was manifest in the flesh.He appeared in a body.He who was revealed in the flesh.He was made manifest in the flesh.
1Ti 6:5Perverse disputings of men of corrupt minds, and destitute of the truth, supposing that gain is godliness: from such withdraw thyself."from such withdraw thyself" is omitted"from such withdraw thyself" is omitted"from such withdraw thyself" is omitted
1Pe 1:22Ye have purified your souls in obeying the truth through the Spirityou have purified yourselves by obeying the truth…Since you have in obedience to the truth purified your souls…Now that you have purified your souls by your obedience to the truth…
1Jo 4:3And every spirit that confesseth not that Jesus Christ is come in the flesh is not of God.But every spirit that does not acknowledge Jesus is not from God.And every spirit that does not confess Jesus is not from God.But every inspired expression that does not confess Jesus does not originate with God.
Re 5:14Four and twenty elders fell down and worshipped him that liveth for ever and ever.…the elders fell down and worshipped.…the elders fell down and worshipped.…the elders fell down and worshipped.
Re 20:9Fire came down from God out of heaven…Fire came down from heaven…Fire came down from heaven…Fire came down out of heaven…
Re 21:24And the nations of them which are saved shall walk in the light of it.The nations will walk by its light.And the nations shall walk by its light.And the nations will walk by means of its light.
Una uhakika gani hayo mafungu hayajapotoshwa?

Unajua ukishasema andiko limepotoshwa, hutakiwi kuamini chochote kilichoandikwa humo.

Sasa ukishasema Yesu hakuwahi kusema Yeye ni Mungu. Tuchukulie ni kweli hakuwahi kusema hilo.

Swali langu linarudi palepale una uhakika gani hata hilo la yeye kutokusema Ni Mungu halijapotoshwa? Au nikuulize unatumia kipimo gani kujua hili andiko la Biblia limepotoshwa na hili halijapotoshwa?

Nauliza hilo kwa sababu naweza kukuletea maandiko ya Biblia yanayothibisha Uungu wa Yesu Kristo, usiseme yamepotoshwa.
 
Njoo nikufundishe bitcoin mdogo wangu upate hata hela ya kulipia ada ya madrasa ndani ya siku moja. Ili ukasome kwanza dini ambayo huijui hata historia yake..

Mwenyezi Mungu hakuleta mtu duniani kuteseka unaweza kukaa nyumbani rizki ikakufuata Ukiwa salafi wa kweli utapata sarafu za kweli...
Akhi
 

Attachments

  • 20230501_222049.jpg
    20230501_222049.jpg
    670.5 KB · Views: 7
Kwanza Shirki zipo aina mbili; shirki kubwa na shirki ndogo.



1-Shirki kubwa inamtoa mtu nje ya Uislamu, ‘amali zake zote zinaporomoka, mwenye kumshirikisha Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) kwa shirki kubwa huwa ni halali damu na mali yake na ni mwenye kudumu Motoni ikiwa hatotubia kabla ya kufariki kwake. Na dhambi ya shirki kubwa ni dhambi pekee ambayo Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) Hamsamehi mja atakapokufa bila kutubia. Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa):


Hakika Allaah Haghufurii kushirikishwa; lakini Anaghufuria yasiyokuwa hayo kwa Amtakae. [An-Nisaa: 48]

Shirki kubwa ni kuelekeza ‘ibaadah na kuomba du’aa kwa asiyekuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa). Washirikina wao ndio kabisa hawamwabudu Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) japokuwa huenda wengine wanaamini kuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) Ndiye Muumba kama walivyoamini hivyo washirikina wa Makkah. Shirki yao imethibiti katika Uluwhiyyah (‘ibaadah) pale walipoabudu masanamu wakidai kuwa yanawakurubisha kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) kama ilivyotajwa katika Qur-aan:

na wale waliojichukulia badala Yake walinzi (wakisema): “Hatuwaabudu isipokuwa ili wapate kutukurubisha kwa Allaah tumkaribie” [Az-Zumar: 3]

Wengine ndio wamemshirikisha Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) na viumbe Vyake wakawafanya ni ilaah (waabudiwa) wao. Juu ya hayo, Allaah (Subhaanahu wa Ta'aalaa) Anamghufuria yeyote yule anayerudi kutubia Kwake baada ya kufuru na shirki kubwa kama hizo. Dalili ni kauli zifuatazo katika Qur-aan:

"Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru." {Al-Maaidah 72}

"Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru" {Al-Maaidah 73}

"Je, hawatubii kwa Allaah na wakamwomba maghfirah? Na Allaah ni Mwingi wa kughufuria, Mwenye kurehemu". [Al-Maaidah: 74]



2-Shirki Ndogo: Ambayo inakulikana kwa “riyaa” ni kufanya ‘ibaadah au kutenda amali lakini kwa niyyah ya kujionyesha kwa watu. Shirki hii haimtoi mtu nje ya Uislamu bali ‘amali zake huporomoka na, ni mwenye kuadhibiwa Motoni kwa kadiri ya madhambi yake.
 
Leo wachungaji wa mchongo kina Mwamposa na mafuta yao tuwapumzishe kidogo tuangalie upande mwengine.

336923133_932706677932030_4425398350988145523_n.jpg
343930075_194729550027513_5680366304643186106_n.jpg
View attachment 2603934

Nimekuwa katika magroup ya tiba naona kuna hivi vikaratasi watu wanapewa ama kuelekezwa kuvichora na wa kuitwa mashehe wakiwaambia ni tiba, ulinzi, kuongeza, mvuto, n.k. niwarahishie tu kwamba huu ni UCHAWI!!

Kama ni ya matibabu ya kiroho kama kurogwa, hakuna anaeweza kutibu zaidi ya Allah bega jwa bega na dua, vifungu, rukya.

Kama ni kwa kujilinda, maandishi au michoro haiwezi kukulinda, Ni imani yako kwa Allah ndiyo inayokulinda pamoja nawe kupiga dua, kunukuu vifungu vyake.

Maneno ya korani hayapo kwajili ya kuchanganywa na michoro ama maneno mengine kwenye kijikaratasi, huo ni ushirikina wa kumshirikisha Allah na vitu vya ajabu ajabu, Allah hawezi kusaidiai hapa bali hayo maneno ya quran yanazuga tu ili ile michoro mingine au maneno ndio vitumike, hayo maneno hata ukimpa muarabu ni ngumu sana kuyatambua, ni lugha za kishetani.

Ukipewa hivi vitu pindi unapotoka tu njiani chana chana kabisa tupa kule visiiingie nyumbani kwako na kama ulibebea mfukoni hio nguo choma kabisa.
Tunashukuru
 
Back
Top Bottom