Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Sisemi
DaaahNOTE
KAMA UMEENDA KWA AJILI YA KUZINI NA MWANAMKE
HII HAIKUHUSU
Niki vent tutauza gazetiNimecheka!! Kwanini sasa husemi?
Sahihi kabisa aiseeKila wakati kila sehemu ni kuomba tu.
Niki vent tutauza gazeti
Unajua chenye nakuombaga na still unanishow ni kama vile hukeiiEeeh! Basi nakuomba usiseme hivyo hivyo 🙏
nunua mihogo unywee.CHAI.
UmenenaNdugu zile Lodge zina mambo mengi sana na kabla ujalala kuna mtu alitoka hapo,na pengine mfanya usafi angekwambia akiyokutana nayoo hata chumbani usingelala.
Tulia Wewe kwani nimekugusa Wewe kelele tu toto lia lia la JF kujilizaliza tu kidogo tu limeenda kulia JF HQ
Hata kama unaenda kufanya uzinzi uombe pia?Haijalishi uko kikazi ama unaenda kusalimia familia, ndugu ,jamaa au marafikii.Nakujuza tu ukienda Lodge guest zozote kabla ya kulala sali.
Ndugu zile Lodge zina mambo mengi sana na kabla ujalala kuna mtu alitoka hapo,na pengine mfanya usafi angekwambia akiyokutana nayoo hata chumbani usingelala.
Humohumo yanafanyika uzinzi na uchafu kama wote.
Asubuhi njema
TANESCO TRA TanzaniaTulia Wewe kwani nimekugusa Wewe kelele tu toto lia lia la JF kujilizaliza tu kidogo tu limeenda kulia JF HQ
Payge Active Maxence Melo Mhariri huyu ndugu kabisa sometimes fyuzi hua zinaungua kichwani kwa hio mpuuzieni tu
Aisee 🤔Nakubaliana na wewe kabisa.
Niliwahi kwenda Katavi kikazi na ilibidi kulala lodge.
Nilipoingia chumbani tu kwenye hiyo lodge nilihisi kama kusisimkwa na mwili ambapo kiuhalisia sikuweza kuelewa ni kwa nini lakini pia nafsi yangu ilikataa kabisa kulala mule ndani. Nilimuita muhudumu nikamwambia anibadilishie chumba. Kuuliza sababu nikamwambia sijakipenda tu kile chumba. Nikapewa chumba kingine.
Baada ya siku mbili nilipokuwa naondoka niikuwa napiga stori na yule muhudumu wakati nasubiria usafiri. Yule dada akaniambia kaka inaelekea una imani kubwa sana na Mungu wako, nikamuuliza sababu ya kusema hivyo; Jibu lake ndio lilinichosha kabisa. Akasema mwenye lodge huwa kila baada ya muda anakuja kufanya matambiko hapo lodge kwake na kile chumba nilichokikataa ndio huwa anakitumia zaidi.
Yule dada aliniambia kuwa ilishatokea mara mbili kwa wateja kukutwa wamefariki kwenye chumba hicho bila ya sababu za msingi na wakiwa peke yao.
Na sharti kubwa la mwenye lodge ni kuwa hicho kiwe ndio chumba cha kwanza kupewa mteja akija hata kama vingine vipo vitupu.
Binadamu huwa tunajisahau sana ila kuna mambo Mungu anatuepusha nayo bila hata ya sisi wenyewe kujua. Pengine ningeishia kuwa kafara kama ningelala humo.
Kuna nyumba za watu unalala kama mgeni kwenye vitanda ambavyo uzinzi umefanyika, na makochi pia unakalia.Haijalishi uko kikazi ama unaenda kusalimia familia, ndugu ,jamaa au marafikii.Nakujuza tu ukienda Lodge guest zozote kabla ya kulala sali.
Ndugu zile Lodge zina mambo mengi sana na kabla ujalala kuna mtu alitoka hapo,na pengine mfanya usafi angekwambia akiyokutana nayoo hata chumbani usingelala.
Humohumo yanafanyika uzinzi na uchafu kama wote.
Asubuhi njema