Ukienda kwenye guest au lodge yoyote usilale bila kuomba

Ndugu zile Lodge zina mambo mengi sana na kabla ujalala kuna mtu alitoka hapo,na pengine mfanya usafi angekwambia akiyokutana nayoo hata chumbani usingelala.
Umenena

Mbali na uzinzi, hizo nyumba zina mazindiko ya kutisha na kuna mambo mengi ya kiganga
 
Hata kama unaenda kufanya uzinzi uombe pia?
 
Anapaswa kuwa na Imani ya MUUMBA wako wakitaka kukuua wanatangulia wao

Siyo guest tu hata nyumba za kupanga, hata chakula, hata nyumbani kwako cha msingi uwe na Imani na uwezo wa kuwasiliana na MUUMBA wako
 
Unaomba kwa Mungu maovu yasikupate at the same time huyo huyo Mungu ndio kaumba maovu-kuna mambo yanafikirisha sana.
 
Aisee 🤔
 
Kuna nyumba za watu unalala kama mgeni kwenye vitanda ambavyo uzinzi umefanyika, na makochi pia unakalia.
 
Siyo Lodge tu, chochote unachotarajia kufanya tanguliza maombi, tumezungukwa na hatari pande zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…