THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,462
- 7,157
Ukienda msibani halafu ukae nyuma ndio utajua nini kilimuua marehemu kule mbele huwa ni sifa tu kwa Marehemu.
Ni hayo tu nilio shuhudia leo.
Ni hayo tu nilio shuhudia leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza nyama sasaNi hayo tu nilio shuhudia Leo.
unafika vizuri, ukitaka kujua mkeo mnyenyekevu ni msibani wanaanzaga kugawa kwa wanaumeHivi wali wa msiabani na huko nyuma hua unafika?
Hivi nani alianzisha utaratibu wa kusema eti marehemu asemwe kwa mazuri tu?? Magufuli kwenye msiba wa Masaburi alisema marehemu ana watoto wa njeUnakuta marehemu amekufa kwa kusemwa na bado kwenye mazishi yake napo bado anasemwa 🔥
Kwa hio nyuma huko unafika mpunga maana ukiwa nyuma nyuma unaachwa kwenye kila jambo kaa mbele mpungu sahana wanaanza kugawa mbele sasa ukiisha utarudi na njaa yako shauriyakounafika vizuri, ukitaka kujua mkeo mnyenyekevu ni msibani wanaanzaga kugawa kwa wanaume
mpunga unafika mkuu, nina uzoefu na hiliKwa hio nyuma huko unafika mpunga maana ukiwa nyuma nyuma unaachwa kwenye kila jambo kaa mbele mpungu sahana wanaanza kugawa mbele sasa ukiisha utarudi na njaa yako shauriyako
Wewe ni mpishi wa msibani?mpunga unafika mkuu, nina uzoefu na hili
sasa mpishi anakaaje nyuma mkuu, ukienda msibani uwe na uhakika kuwa utakula, tofauti na harusini hata ukichanga uwezekano wa kukosa upoWewe ni mpishi wa msibani?
Unakula huku unapewa taarifa za marehemu kilichomuua marehemu enzi za uhai wake alikuaje eebwana ukitoka hapo full dataMsosi wa msibani huwa una utamu wa kipekee sana.
Yaan sio kila msiba uhakika wa kula upo sasa wewe endelea kukaa nyuma sisi wa mbele tukumalizie msosi utaelewasasa mpishi anakaaje nyuma mkuu, ukienda msibani uwe na uhakika kuwa utakula, tofauti na harusini hata ukichanga uwezekano wa kukosa upo