Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Niwe sitaka tu kula mkuu, ujue msibani huwa hatusemi nimekula nyumbaniYaan sio kila msiba uhakika wa kula upo sasa wewe endelea kukaa nyuma sisi wa mbele tukumalizie msosi utaelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niwe sitaka tu kula mkuu, ujue msibani huwa hatusemi nimekula nyumbaniYaan sio kila msiba uhakika wa kula upo sasa wewe endelea kukaa nyuma sisi wa mbele tukumalizie msosi utaelewa
Sana kitengo changu msibani Ni kuandaa chachandu🤗🤗🤗Msosi wa msibani huwa una utamu wa kipekee sana.
Kusema watoto wa nje ni vibaya?Hivi nani alianzisha utaratibu wa kusema eti marehemu asemwe kwa mazuri tu?? Magufuli kwenye msiba wa Masaburi alisema marehemu ana watoto wa nje
Watoto wa nje sio habari mbayaHivi nani alianzisha utaratibu wa kusema eti marehemu asemwe kwa mazuri tu?? Magufuli kwenye msiba wa Masaburi alisema marehemu ana watoto wa nje
Ni habari nzuri kwamba marehemu anaupiga mpaka nje kimataifa anapiga ndani anapiga na nje diplomasia makini yaan apewe nishani ya heshimaWatoto wa nje sio habari mbaya
sio habari ya kusema kwa kadamnasiWatoto wa nje sio habari mbaya
AIsee umenichekesha mbayaunafika vizuri, ukitaka kujua mkeo mnyenyekevu ni msibani wanaanzaga kugawa kwa wanaume
copy en pasteUkienda msibani halafu ukae nyuma ndio utajua nini kilimuua marehemu kule mbele huwa ni sifa tu kwa Marehemu.
Ni hayo tu nilio shuhudia leo.
ukiwa msibani wanawake wote ni wife material waliovalia kiafrika kabisa, nje ya hapo unachambuaAIsee umenichekesha mbaya
Suspending of maximsHivi nani alianzisha utaratibu wa kusema eti marehemu asemwe kwa mazuri tu?? Magufuli kwenye msiba wa Masaburi alisema marehemu ana watoto wa nje
sijaelewa mkuuSuspending of maxims