pilato93 JF-Expert Member Joined Jun 28, 2014 Posts 6,296 Reaction score 6,692 Feb 14, 2022 #1 Habari ya muda huu wakuu. Guys kama umetoka na mtu au mmetoka kama group, usikubali au msikubali mmoja wenu aondoke na mtu msiyemfahamu in any means. Binadamu siku hizi hawaaminiki, kuna risk sana.
Habari ya muda huu wakuu. Guys kama umetoka na mtu au mmetoka kama group, usikubali au msikubali mmoja wenu aondoke na mtu msiyemfahamu in any means. Binadamu siku hizi hawaaminiki, kuna risk sana.
Alubati JF-Expert Member Joined May 29, 2016 Posts 6,535 Reaction score 14,840 Feb 14, 2022 #2 Fafanua nini kimetokea?
Mwl.RCT JF-Expert Member Joined Jul 23, 2013 Posts 14,624 Reaction score 20,666 Feb 14, 2022 #3 alubati said: Fafanua nini kimetokea? Click to expand... Pitia Hizi thread utapata mwanga zaidi. Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe Click to expand... Click to expand... Dar: Watu wawili mbaroni kwa mauaji ya Barke Rashid. Wivu wa mapenzi wadaiwa kuwa chanzo Click to expand... Click to expand...
alubati said: Fafanua nini kimetokea? Click to expand... Pitia Hizi thread utapata mwanga zaidi. Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe Click to expand... Click to expand... Dar: Watu wawili mbaroni kwa mauaji ya Barke Rashid. Wivu wa mapenzi wadaiwa kuwa chanzo Click to expand... Click to expand...
MTV MBONGO JF-Expert Member Joined Feb 18, 2016 Posts 1,281 Reaction score 1,251 Feb 14, 2022 #4 Jifunze kujieleza. Andika kitu kamili kinachoeleweka 'straight to the point'
Karucee JF-Expert Member Joined Mar 11, 2012 Posts 18,155 Reaction score 34,303 Feb 14, 2022 #5 Na muache pombe jamani. Mnajikuta zimashuka mnaanza kuchukua yeyote tu mkampige ukuni. Tunafeli sana wake kwa waume.
Na muache pombe jamani. Mnajikuta zimashuka mnaanza kuchukua yeyote tu mkampige ukuni. Tunafeli sana wake kwa waume.
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,119 Feb 14, 2022 #6 Mbona unatuandikia habari fupi kama wanachuo wenzako
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 20,921 Reaction score 49,014 Feb 14, 2022 #7 Wadangaji je itakuwaje Sasa?
Me too JF-Expert Member Joined Feb 9, 2015 Posts 7,388 Reaction score 9,333 Feb 14, 2022 #8 ukisikia yowe
pilato93 JF-Expert Member Joined Jun 28, 2014 Posts 6,296 Reaction score 6,692 Feb 14, 2022 Thread starter #9 MTV MBONGO said: Jifunze kujieleza. Andika kitu kamili kinachoeleweka 'straight to the point' Click to expand... Umesoma kwa kuelewa au ulikuwa na jibu lako ulilokuwa unalitegea?
MTV MBONGO said: Jifunze kujieleza. Andika kitu kamili kinachoeleweka 'straight to the point' Click to expand... Umesoma kwa kuelewa au ulikuwa na jibu lako ulilokuwa unalitegea?