Umeshawahi kwenda hapo NSSF wakati huyo Magu akiwepo ?Ukienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza utatamani Magufuli afufuke.
Hakuna anaejali.
Unasikilizwa kwa mbinde.
Meneja hapatikani.
Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!
Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.
Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.
Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.
Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.
Na mm nilitaka ni comment icho kitu ...Umeshawahi kwenda hapo NSSF wakati huyo Magu akiwepo ?
Team Jiwe kazini , aliyehamisha ofisi kwenda Dodoma ni nani ? na hapo kinondoni unamlaumu nani ?Ukienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza utatamani Magufuli afufuke.
Hakuna anaejali.
Unasikilizwa kwa mbinde.
Meneja hapatikani.
Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!
Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.
Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.
Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.
Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.
Wangekuwa wanajua huyo Magu ndio kaimaliza kabisa hiyo mifuko wasingelete huu utaahira huu himu.Na mm nilitaka ni comment icho kitu ...
Binafsi nimekuwa naenda nssf ubungo plaza ...since 2020 kiukweli wana usumbufu wa kiwango cha daraja la kwanza ...hupewi majibu yanayo eleweka wana kwambia tu file lipo kwa boss
Sasa huyo boss anakaa na file la mteja mwezi mzima ?
Mimi nilichukua mafao yangu enzi za mwendazake. Aisee Bora hata Sasa. Kipindi Cha mwendazake ndio ilikua balaa.Ujinga ni kipaji.
Ulitakiwa upate pesa yako yote ila leo utapokea only 33.3% ya pesa zako zote na bado unamkumbuka kwa mazuri aliyekusababishia hali hio.
Ubungo na Kinondoni ni sehemu mbili tofauti, wilaya mbili tofauti.... Tatizo ni sisi pia wadai huduma ni very uneducatedUkienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza
Huyo mwendazake ndio katufikisha kwenye kupata 33% badala ya 100% kweli ujinga mzigo
Nssf wapumbavu sana. Wamesababisha hasara maishani mwangu. Sitasahau nilivyoshindwa kumudu gharama za matibabu wakati wamekalia stahiki zangu. Mungu awalani kuanzia Bodi yao, Hadi karani wao ofisi za Nssf Kigoma-Ujiji.Na mm nilitaka ni comment icho kitu ...
Binafsi nimekuwa naenda nssf ubungo plaza ...since 2020 kiukweli wana usumbufu wa kiwango cha daraja la kwanza ...hupewi majibu yanayo eleweka wana kwambia tu file lipo kwa boss
Sasa huyo boss anakaa na file la mteja mwezi mzima ?
Jamaa kajitungia kumsafisha aliyeifilisi mifuko ya hifadhi ya jamii.Ubungo na Kinondoni ni sehemu mbili tofauti, wilaya mbili tofauti.... Tatizo ni sisi pia wananchi ni very uneducated
Ntovye,Ukienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza utatamani Magufuli afufuke.
Hakuna anaejali.
Unasikilizwa kwa mbinde.
Meneja hapatikani.
Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!
Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.
Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.
Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.
Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.
Mkuu umejuaje ni dada malaya anatembea n wakubwa zake?Mimi nilichukua mafao yangu enzi za mwendazake. Aisee Bora hata Sasa. Kipindi Cha mwendazake ndio ilikua balaa.
Hapo ubungo kile kidada Malaya kinachotembea na wakubwa, kile kinacho kaanga sumu chenye damu chafu bado kipo?
Duh ..inaumiza sanaNssf wapumbavu sana. Wamesababisha hasara maishani mwangu. Sitasahau nilivyoshindwa kumudu gharama za matibabu wakati wamekalia stahiki zangu. Mungu awalani kuanzia Bodi yao, Hadi karani wao ofisi za Nssf Kigoma-Ujiji.
khaaa ,umewachoka sanaukweli mchungu ni kwamba, kupoteza mbuzi mmoja pale Vingunguti au hata kuku mmoja pale Kisutu, ni hasara kubwa kwa taifa na ustawi wa dunia kwa ujumla kuliko kupoteza Misukule 100 ya JPM!
Kabla ya kutawala huyo unayemkumbuka,Leo ungekuwa unatuatilia kupewa [emoji817]% ya kile ulichokichangia hapo NSSF.Ukienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza utatamani Magufuli afufuke.
Hakuna anaejali.
Unasikilizwa kwa mbinde.
Meneja hapatikani.
Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!
Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.
Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.
Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.
Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.