Ukienda NSSF kupata huduma lazima umkumbuke Hayati Magufuli

Mimi nilichukua mafao yangu enzi za mwendazake. Aisee Bora hata Sasa. Kipindi Cha mwendazake ndio ilikua balaa.
Hapo ubungo kile kidada Malaya kinachotembea na wakubwa, kile kinacho kaanga sumu chenye damu chafu bado kipo?
mkuu kumbe unakijua?
Hatari sana .

tatizo zaidi pale ni ukanda watu wameajiliwa kutoka ukanda mmoja.
 
mkuu kumbe unakijua?
Hatari sana .

tatizo zaidi pale ni ukanda watu wameajiliwa kutoka ukanda mmoja.
Mimi nilichukuwa 2018 kabla ya kanuni zao kuanza kutumika japo nilifungua faili 2017 lakini tulifanikiwa kupata hela yote bila usumbufu. Ukienda unashauriwa vizuri kabisa, unapewa namba ya simu unaambiwa kabla hujaondoka nyumbani kwako piga simu kwanza. Ingawa kilikuwa kipindi kigumu maana hela haikuwepo mtaani lakini majibu yalikuwa mazuri kwa wale niliowasiliana nao. Ilikuwa Ubungo Plaza
 
Ujinga ni kipaji.

Ulitakiwa upate pesa yako yote ila leo utapokea only 33.3% ya pesa zako zote na bado unamkumbuka kwa mazuri aliyekusababishia hali hio.
Kama hilo halitoshi, Magu huyo huyo alimteua "mtu" wa Mkapa William Erio kama Mkurugenzi wa NSSF.

Shirika limetafunwa, pesa zimechotwa nyingine Magu aliwaambia wakajenge viwanda mpaka sasa, havizalishi.

Magu alilikuta shirika ni dhaifu, yeye amelinyonga kabisa. Hapo lilipo linapumulia mashine, hawana hela ndio maana danadana kibao.
 

Legasi haitetewi bali inajitetea ,kikwete alikuwa anatoa fao la kujitoa ndani ya wiki 3 unapata mzigo wako ,alivyoingia JIWE kazuia halafu unakuja na ngonjera zako tutamkumbuka magufuli,AKUMBUKWE kwani amekuwa mtoto wa DANDU?

Your browser is not able to play this audio.
 
Haya malipo ya 33.3% yamefanyiwe marekebisho
 
Unajua unachoandika kinakuwakilisha? Unafikiri ni Mungu yupi unayemuabudu ambaye atafurahia wewe kulinganisha mbuzi na binadamu aliyemuumba na kumheshimisha kwa kufanana nae! Na hata kumfia msalabani?

Chuki yako kwa JPM imekomaa na sasa inazaa dhambi na bila toba unajua matokeo ya dhambi. Wewe unaweza kufurahia mtoto wako kulinganishwa na mbuzi?

Huna haja ya kujieleza, ni either uombe radhi, ubakie kwenye mijadala kwa hoja bila chuki za kiwango cha mauti au simamia kauli yako. Usihangaike kuandika gazeti kama kawaida yako, kama una dini omba radhi mjadala uendelee.

Moderator zamani mlikuwa na utaratibu mzuri wa kuzuia matusi kwenye mijadala. Tunaomba tubakie kwenye hoja na hawa wenye hasira wawe wanapumzishwa ili mtu anapoandika humu ajitafakari kwa heshima ya JF.
 
Basi hakuna unachojua.
Wewe ndiye mtu hisiyejua chochote. Kwa upande wa Watumishi huyo unayemlilia na kutaka watu wamuone wa pekee kwa mazuri ndiye aliyetuletea haya mabalaa yote.

Aliondoa fao la kujitoa na liliondolewa 2018, baada ya hapo akaongeza makato ya bodi ya mikopo kutoka 8% mpaka 15%. Kama haitoshi akaongeza 6% Kama ka adhabu fulani hivi.

Alafu unakuja hapa na mambo yako ya ajabu ajabu.
 
Softie like suzie!! Naona unapiga mkwara jabali!! Thats real Chige
 
Kwani ile sera ya kuchukua kidogo kidogo imeanza, maana nilisikia sera hiyo inaanza baada ya 2023, hivyo kwa sasa ni full funded mtu unapata au nilielewa vibaya wakuu
 
Hebu peleka ujinga wako mbele! Kumlinganisha binadamu na mbuzi, na wewe uliyekuwa unatetea utawala unaowafanya mauaji kwa binadamu, baya kwa Mungu ni lipi?

I repeat, kupoteza kuku mmoja pale Kisutu au mbuzi mmoja pale Vingunguti ni hasara kwa taifa na ustawi wa dunia kwa ujumla kuliko kupoteza misukule 1000 ya JPM... na hao misule, wewe ni mmoja wappo!!

Haya... wa-tag tena moderator ili wanipige ban!!

Na upumbavu kusema eti namchukia JPM kwa sababu watu hatumchukii JPM bali tunachukia matendo ya kidhalimu ya JPM! Endelea wewe kumsifia inatosha lakini binafsi siwezi kumsifia na kumuabudu dhalimu... na kama hizo kwa tafisri zako ni chuki, then LET IT BE!!
 
Very stupid... nikufuate wewe kwa lipi ulilonalo?! Hii ni public forum, ukiandika LAZIMA watu wataku-quote, na kama hutaki waku-quote, kaandike pumba zako kwenye majukwaa ya misukule wenzako, na huko mtabaki mkisifiana misukule kwa misukule!
 
Hayo masheria yanayokufanya utaabike si alisaini hayati JPM?
Hakuna cha unafuu wowote wakati wa utawala wa JPM
 
Ujinga ni kipaji.

Ulitakiwa upate pesa yako yote ila leo utapokea only 33.3% ya pesa zako zote na bado unamkumbuka kwa mazuri aliyekusababishia hali hio.
Yaani mtoa mada hajielewi kabisa, hizo 33% si alipitisha jiwe, baada amlalamikie aliyesababisha kupunjwa pesa zake halali, anabaki kusifia
 
aiseeee
 
Nssf wapumbavu sana. Wamesababisha hasara maishani mwangu. Sitasahau nilivyoshindwa kumudu gharama za matibabu wakati wamekalia stahiki zangu. Mungu awalani kuanzia Bodi yao, Hadi karani wao ofisi za Nssf Kigoma-Ujiji.
Na awalaani kwelikweli. Wamewachekea waajiri wasiopeleka michango miaka na miaka na sasa wanajifanya kuwapeleka mahakamani. Kesi zinapigwa kalenda ndeeeefu watu wanakufa bila mafao yao. hongo mlizopokea kuwafanya msiwafuatilie ni laana tosha mtakufa vibaya mbweha nyie.
 
Mkuu,
Sijui watanganyika tulilogwa na nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…