Kuna viumbe wanakera sana... yaani wakianza kuimba mapambio yao kwa JPM, wanataka sote tuwaunge mkono kuimba mapambio hata kama hoja zinazotolewa ni za kijinga! Wakimbiwa ukweli, "oh, mna chuki"Softie like suzie!! Naona unapiga mkwara jabali!! Thats real Chige
Acha kwanza ujinga wa kusema tunamchukia Jiwe eti kisa tu tunamkosoa!!Kaka acha matusi kama wewe mwanaume tutafutane alafu uone kama utapata nafasi hata ya kukohoa.
Ebu soma mada alafu angalia ulichoandika.
Nipe codes nikutafute, trust me nitakufikia.
Acha kulia lia wewe... UNABOA!!! Hakuna mzazi wako hapa; kama huziwezi pressure za JF, rudi Facebook ukaungane na waimba mapambio wenzako!!Chunga sana kijana matusi ni ishara ya kukosa malezi ya wazazi wote wawili au kudevelop tabia za jinsia ya pili.
Sio kwa dharau na kiburi kileMkuu umejuaje ni dada malaya anatembea n wakubwa zake?
Pole sanaDogo umekosea sana kumtukana. Ni mama watoto wangu
Mku hapa unamaanisha mtu aliyestaafu au redundancyKabla ya kutawala huyo unayemkumbuka,Leo ungekuwa unatuatilia kupewa [emoji817]% ya kile ulichokichangia hapo NSSF.
Lakini leo unafuatilia ulipwe 33% ya mshahara wako wa mwisho kila mwezi zoezi litakalo dumu kwa miezi 6 tu.Lakini aliyekusababishia hali hiyo ndo unamkumbuka kwa hayo mazuri.Kweli uchawi upo.
Since 2020... Hukupaaza sauti kwa mwendazake??Na mm nilitaka ni comment icho kitu ...
Binafsi nimekuwa naenda nssf ubungo plaza ...since 2020 kiukweli wana usumbufu wa kiwango cha daraja la kwanza ...hupewi majibu yanayo eleweka wana kwambia tu file lipo kwa boss
Sasa huyo boss anakaa na file la mteja mwezi mzima ?
Pole, meli inazama hivi hivi huku hatuna la kufanya...Ukienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza utatamani Magufuli afufuke.
Hakuna anaejali.
Unasikilizwa kwa mbinde.
Meneja hapatikani.
Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!
Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.
Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.
Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.
Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.
Moja kati yaa taasisi ambazo hazikuguswa ni iyo na pacha wakeSince 2020... Hukupaaza sauti kwa mwendazake??
Hakuna cha alipambana bila yeye ungepewa hela yako yote matokeo yake unapewa 33% kwa miezi 6 baada ya wao kubadili sheria sasa hicho kilichobaki kusubiri uzeeni fikiria wewe hii serikali imewachoma kwa hiyo sheriaUkienda NSSF tawi la kinondoni ubungo plaza utatamani Magufuli afufuke.
Hakuna anaejali.
Unasikilizwa kwa mbinde.
Meneja hapatikani.
Ukienda posta utachoambulia ni majibu ya hovyo utaambiwa sasa sisi tufanyaje!
Hii ni experience yangu nafuatilia hela yangu ya 33%.
Hali ni mbaya sana watumishi hawaogopi lolote now.
Sisi wanyonge ndio tunaoumia na hakuna kitu tutafanya tutaishia kulia bila kuwa na wakutusikliza.
Tutakukumbuka JPM ulipambana sana wanyonge tusikilizwe kwenye ofisi za umma.
Mkuu niambie huyo sijui akili ameshikilia yeye ndio kafanya mjinga alafu anasifia upuuziKabla ya kutawala huyo unayemkumbuka,Leo ungekuwa unatuatilia kupewa [emoji817]% ya kile ulichokichangia hapo NSSF.
Lakini leo unafuatilia ulipwe 33% ya mshahara wako wa mwisho kila mwezi zoezi litakalo dumu kwa miezi 6 tu.Lakini aliyekusababishia hali hiyo ndo unamkumbuka kwa hayo mazuri.Kweli uchawi upo.