SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Nakumbuka kipindi nasoma hatukua na umeme basi ili usome unasubiri mwanga wa radi upige unapitia pitia nimesoma kwa tabu sana๐Mvua inanyesha, radi sasa mpaka naogopa kuzima taa
Lala wewe acha woga
Huwa wanahisi walokua mikoani wote ni waluga luga na washamba na wanahisi mvua ikinyesha dar basi ni nchi nzima imenyesha๐๐Watu wa dar bhana,huwa ni washamba sana wanahis wamikoani hawajui hata mambo ya internet na jamiiforum
Wengi ambao hawajawah toka nje ya dar huwa wanahis hata mikoani hakuna internet
vise versa's trueKwani wanaJF wote wanaishi daslamu?
Umeng'oa kufuli mkuuKafanyajeee
Nipo mkoani WananchiWatu wa dar bhana,huwa ni washamba sana wanahis wamikoani hawajui hata mambo ya internet na jamiiforum
Wengi ambao hawajawah toka nje ya dar huwa wanahis hata mikoani hakuna internet
Hadi wewe Numbisa ๐๐Miezi sita imeenda kasi sana. Mara hii ushatoka kwenye ban
Mimi si mwamba ๐Umeng'oa kufuli mkuu
We acha tu mdadaKama unasubiri hadi siku mvua inyeshe ndio muenjoy humo ndani aseee bado mna safari ndefu sana
Bado utazikosa nitatekeleza ahadi yangu ๐๐๐๐๐nilisikitika likes ningezikosa jamani bora umerudi
Sio kwelNipo mkoani Wananchi
We nawe unapenda tu kulala na taa, ungeni pm mbona ningekuja chap hapo kukupa company kisha tungezima hiyo taa unayozungumziaMvua inanyesha, radi sasa mpaka naogopa kuzima taa