Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sheria ya sasa inataka aliyeenguliwa akate rufaa kwa Tume yenyewe .
=====
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kutekana na kuporana fomu yamezimika kama mshumaaSawa
Sawa. Tunawasubiri Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.Mambo ya kutekana na kuporana fomu yamezimika kama mshumaa
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.Sawa. Tunawasubiri Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.
Kwahiyo Chadema hamtashiriki sio? Basi sawa.Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Elewa unachoambiwa , kapuku weKwahiyo Chadema hamtashiriki sio? Basi sawa.
Kapuku babaako!Elewa unachoambiwa , kapuku we
Kwi Kwi KwiKapuku babaako!
Ahahahahaha!!!Kwi Kwi Kwi
Mkenge huo.View attachment 2864935Huu ni sehemu ya Mchango alioutoa Emmanuel Masonga Bungeni Dodoma alipokuwa anachangia kwenye Muswada wa Sheria za Uchaguzi .
Sheria ya sasa inataka aliyeenguliwa akate rufaa kwa Tume yenyewe .
=====
View attachment 2864936
Hapo ndipo tulipoMkenge huo.
Hizi bla bla zote zinatokana na kukosa Tume Huru ya UChaguzi na Katiba bora.
Ccm wanapiga dana dana tu kila mwaka makongamano na vikao.
Kazi ni moja tu Tume Huru ya.Uchaguzi sifa moja wapo Wasimamizi wasiwe Wakurugenzi wa ccm
Huu ni wembe mkali kwa cmm
ni sawa,View attachment 2864935Huu ni sehemu ya Mchango alioutoa Emmanuel Masonga Bungeni Dodoma alipokuwa anachangia kwenye Muswada wa Sheria za Uchaguzi .
Sheria ya sasa inataka aliyeenguliwa akate rufaa kwa Tume yenyewe .
=====
View attachment 2864936
Hata ule alioshinda Mbowe Hai, Sugu Mbeya, Msigwa Iringa?Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Kwani wao kushinda imewahi kuwa Tatizo, tatizo ni matokeo halali kutangazwa.Hata ule alioshinda Mbowe Hai, Sugu Mbeya, Msigwa Iringa?
Kwa mtu mwenye akili timamu sawasawa kabisa, hawezi kupoteza muda wake kwa kujishughulisha na masuala ya Siasa za Uchaguzi za nchi ya Tanzania, just a rubbish and the wastage of time.View attachment 2864935Huu ni sehemu ya Mchango alioutoa Emmanuel Masonga Bungeni Dodoma alipokuwa anachangia kwenye Muswada wa Sheria za Uchaguzi .
Sheria ya sasa inataka aliyeenguliwa akate rufaa kwa Tume yenyewe .
=====
View attachment 2864936
Mahakama zenyewe ziko wapi?Mambo ya kutekana na kuporana fomu yamezimika kama mshumaa
Tukiacha tutaendelea kuongozwa na koo chache sn hazidi 6, lazima tupambanie nchi yetuKwa mtu mwenye akili timamu sawasawa kabisa, hawezi kupoteza muda wake kwa kujishughulisha na masuala ya Siasa za Uchaguzi za nchi ya Tanzania, just a rubbish and the wastage of time.
Washinde kihalaliKwani wao kushinda imewahi kuwa Tatizo, tatizo ni matokeo halali kutangazwa.
Unajidanganya.Tukiacha tutaendelea kuongozwa na koo chache sn hazidi 6, lazima tupambanie nchi yetu