Umenikumbusha wimbo wa kitabu cha shule ya msingi miaka hiyoo nilikuwa namuona mtoto wa kaka yangu wangu akiimba kila akitoka shuleni....
Saa ya Babu mzee yaenda miaka tisini hivi sasa.
Saa ya Babu mzee yaenda miaka tisini hivi sasa..
Siku ile azaliwa ile saa yanunuliwa ikamfura hisha daimaaa
Tisini miaka weeh tikitakatikitaka
Haichoki kulia weeh tikitakatikitaka
Ila tuu baasii haiendi tenaa aakifaa mzeee....
Hivyohivyo na simu ya mkononi mtu akifa haitakiwi kufanya kazi tena, ikiwezekana mnamzika nayo tuu. Sana sana ndugu chomoeni line muende kampuni husika na nyaraka za mirathi kuona kama mtu ameacha hela kwenye simu.
Mnaweza mchukia marshaling buree kwa kufukunyua simu yake, simu ina siri nyingi sana za mtu binafsi mziache age nazo kama hajaziweka wazi hata kwa mkewe au mumewe.
#uhuruwakujimwambafy...