Fuata hatua moja kati ya hizi ili kudumisha amani katika ndoa yako.
1.Ukiingia bafuni kuoga nenda kaoge na mkeo
2. Kama itashindikana kwenda kuoga na mkeo basi nenda kaoge na simu yako
Hivi vitu viwili Mke & Simu yako vikikaa pamoja vinaweza kuibua mazito.
Usiniulize kwa nini[emoji12]