Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu si ungesema Tanzania wote tumember wa JF
masecretary
wanafunzi
waalimu
madokta
wasio na ajira
omba omba
wakulima
wafanyabiashara
wachungaji
mapadri
mashehe
maaskofu
wabunge
madiwani
wakuu wa vijiji,kata,shina,wilaya adi mikoa na wasaidizi
wanajeshi,polisi,mgambo,walinzi
wachezaji na makocha
Nimecheka kuona namba 6.....Binadamu wote wenye akil iimamu1.Watumishi wote wa serikali 2. Watumishi wote waliopo sekta binafsi 3. Wajasiriamali wote 4. Viongozi wa dini zote 5. Wanasiasa wote 6. Binadamu wote wanye akili timamu.
Mmh kwenye watangazaji wa tbc hapo ulimaanisha nn.maana naona wanapotea sana cku ya hv karibunWafanyakazi TBC. Wacheza mpira. Waigizaji. Wavuvi ktk visiwa vya ziwa victoria
Watu wa mziki wanakufa kwa mihadarati1.Mabaamedi na mameneja wao
2.Madereva tax
3.Vinyozi na wasusi wa kiume
4.Madj (except me)
5.Wanamuziki
mwisho wao kama si kufa kwa ukimwi au kuuliwa kwa kufumaniwa basi ni bahati yako. Najua zipo nyingi kwa saiz nimezikumbuka hizo
Mkuu wasikusikieWanajeshi
Wauza urembo na nguo za kike, wauza nyamaWaendesha malori yenye maköntena
Mmhh hyo sasa mdau unatafuta balaaMkuu wasikusikie