Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

member wa JF
masecretary
wanafunzi
waalimu
madokta
wasio na ajira
omba omba
wakulima
wafanyabiashara
wachungaji
mapadri
mashehe
maaskofu
wabunge
madiwani
wakuu wa vijiji,kata,shina,wilaya adi mikoa na wasaidizi
wanajeshi,polisi,mgambo,walinzi
wachezaji na makocha
Basi ni kila mtu
 
sasa wakuu mbona nchi itabakiwa na mafundi umeme tu labda.
Najua fundi bomba lazma aondoke.
Huyo naye hatabaki salama. Mkewe lazma atakuwa kama si mama lishe, basi muuza matunda barabarani au mama wa chapati au msusi au..... asha date na waliotajwa mara nyingi huko awali.
 
Hivi kwanini mnapenda kufufua makaburi
Yaani uzi wa 2012 unafufuliwa mwaka 2021
 
member wa JF
masecretary
wanafunzi
waalimu
madokta
wasio na ajira
omba omba
wakulima
wafanyabiashara
wachungaji
mapadri
mashehe
maaskofu
wabunge
madiwani
wakuu wa vijiji,kata,shina,wilaya adi mikoa na wasaidizi
wanajeshi,polisi,mgambo,walinzi
wachezaji na makocha
[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Itoshe kusema tu huo "ugonjwa umekaa pabaya"
Auchagui pa kutua uwe shehe au mchungaji
 
Back
Top Bottom