Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)


wafanya pr0m0ti0nz kwenye makampun mbalimbali,hasa wale wanaozurura na magari huku wanaimba
 
sasa wakuu mbona nchi itabakiwa na mafundi umeme tu labda.
Najua fundi bomba lazma aondoke.
 

wasio na kazi??? Kivipi
 
Mainjinia wa Tanesco na Makambuni ya simu
 

wazinzi, wakameron, n.k, n.k.
 

imanu
shehe
ustadh,
bokoharam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…