Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

Sio kweli na siamini kama watu wanaofanya kazi katika hizo sekta lazima wafe na ngoma, hii ishu ni Personal......
That's why tunasema
H.I.V FREE GENERATION IT BEGINS WITH YOU.....
 
Mapasta,

wachungaji,
wainjilisti

Madokta

washauri nasaha
askari polisi na ,magereza
wabunge
Rais
TRA
Muuza nguo za Kike
MC
Fundi cherehani
Muuza genge
Bwana Ng'ombe
House Girl.
Muimba kwaya Kanisani
Fundi Decoder
Mwalimu
Wakili

mbona ujaweka mashee na walimu wa mdrasa unangangania mapatri
 
1.Watumishi wote wa serikali 2. Watumishi wote waliopo sekta binafsi 3. Wajasiriamali wote 4. Viongozi wa dini zote 5. Wanasiasa wote 6. Binadamu wote wanye akili timamu.
 
Wanaoandika message kwa kutumia kidole gumba na kusoma message kwa kutumia macho.
 
wote wanao vuta oxgen na kutoa cabdioxide.....
 
Back
Top Bottom