Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

Sio kweli na siamini kama watu wanaofanya kazi katika hizo sekta lazima wafe na ngoma, hii ishu ni Personal......
That's why tunasema
H.I.V FREE GENERATION IT BEGINS WITH YOU.....
 

mbona ujaweka mashee na walimu wa mdrasa unangangania mapatri
 
Pia wauza maduka na vibanda vya chips maeneo ya hostel za wanachuo kama mabibo pale hahaha
 
1.Watumishi wote wa serikali 2. Watumishi wote waliopo sekta binafsi 3. Wajasiriamali wote 4. Viongozi wa dini zote 5. Wanasiasa wote 6. Binadamu wote wanye akili timamu.
 
Wanaoandika message kwa kutumia kidole gumba na kusoma message kwa kutumia macho.
 
wote wanao vuta oxgen na kutoa cabdioxide.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…