Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,368
Mcheza kiduku, Mchoma mishikaki....
Ukiwa rais, mbunge ama mawaziri ndo usiseme!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mcheza kiduku, Mchoma mishikaki....
Mama Ntilie
waanzisha thread....na wachingiaji wake...!!
wacheza ngoma
wacheza ngoma
hii inategemeana na Tabia ya mtu,kuna mabaamedi wanajiheshimu sana sio watu wa kugawagawa hovyo.sina uhakika kama maneno yako yana ukweli wowote.
Kwanini wewe umejiondoa kwenye tuhuma?1.Mabaamedi na mameneja wao
2.Madereva tax
3.Vinyozi na wasusi wa kiume
4.Madj (except me)
5.Wanamuziki
mwisho wao kama si kufa kwa ukimwi au kuuliwa kwa kufumaniwa basi ni bahati yako. Najua zipo nyingi kwa saiz nimezikumbuka hizo
umewamaliza mkuu.tz ukimwi m2pu mungu 2nusuru
4.wasanii wa bongo fleva1.Wasanii wote wa bongo movie
2.Waliopo facebook, twiter,g+
3.mademu wa tigopesa,Mpesa,AirtelMoney
Bila kusahau washabiki wa kanumba
Na lulu
Kwanini wewe umejiondoa kwenye tuhuma?