Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

Ukifanya Kazi hizi mwisho lazima ufe kwa ngoma (75%)

Wamachinga wale wanaouza nyumba hadi nyumba pia madaktari wote na zaidi wa mifugo akija leo akikuta mkeo, mwanao, mdogo ako, h/girl yeyote mzuri atakuambia inatakiwa sindano ya kumchoma ng'ombe kama siku 5 hivi na hata baada ya ng'ombe kupona anakuwa anakuja kumtizama anaendelea je kila siku bila garama yeyote
 
hii inategemeana na Tabia ya mtu,kuna mabaamedi wanajiheshimu sana sio watu wa kugawagawa hovyo.sina uhakika kama maneno yako yana ukweli wowote.
 
hii inategemeana na Tabia ya mtu,kuna mabaamedi wanajiheshimu sana sio watu wa kugawagawa hovyo.sina uhakika kama maneno yako yana ukweli wowote.

sina ubishi mzee.Hlo jina lako tu limenipa uthibitisho kuwa ushafanya utafiti baa nyingi.Teh teh teh
 
1.Wasanii wote wa bongo movie
2.Waliopo facebook, twiter,g+
3.mademu wa tigopesa,Mpesa,AirtelMoney
 
1.Mabaamedi na mameneja wao
2.Madereva tax
3.Vinyozi na wasusi wa kiume
4.Madj (except me)
5.Wanamuziki
mwisho wao kama si kufa kwa ukimwi au kuuliwa kwa kufumaniwa basi ni bahati yako. Najua zipo nyingi kwa saiz nimezikumbuka hizo
Kwanini wewe umejiondoa kwenye tuhuma?
 
Na ukiwa unaandika post za kipumbav km hz lazma uwe punga,au bwabwa au shoga
 
Kweli,pia ukiandika ***** kama huu wa muanzisha uzi mwisho wako ni kupakuliwa
 
Back
Top Bottom