comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Ukifikisha umri wa miaka 33 bila mtoto ni tatizo, ukiwa huna kipato cha uhakika ni tatizo pia.
Ukiwa huna mwanamke wa uhakika wa kuishi nae ni tatizo
Sikiliza video.
Mtangazaji yupo sawa au yeye ndio anatatizo?
Ukiwa huna mwanamke wa uhakika wa kuishi nae ni tatizo
Sikiliza video.
Mtangazaji yupo sawa au yeye ndio anatatizo?