DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kuna watu wakiwa 25 hawana watoto, wataumia,
Kuna watu hawataki watoto,
Ni suala la kimtazamo hilo.
Ila kuhusu pesa, mtu yeyote anayejitegemea anawaza kuhusu kipato. Haijalishi umri.
Kuolewa na kuoa ni swala la kimtazamo zaidi 👏🏼