comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Kama huoni mtangazaji ana tatzo basi na wewe mleta mada ni zaidi ya hilo tatzo
Tena kwenye hapo kwenye mtoto ndio nmeona kabisa mtangazaji ana tatizo kubwa SanaHamna tatizo lolote kufika umri huo hauna MTOTO .
Jamaa huyu hajui kibongobongo kuna watu 40+ bado wanajitafuta hawana kipato cha uhakikaikiwa 50 + na hauna mtoto hapo kidogo nawez waza kuna kitu anakijua muhusika kinachofanya asiwe na mtoto
Kwenye mtoto hapo kapuyanga, na hapo kua na mwenza, wengne hawana wenza wanaopiga tuu yoyote wanatembeaHamna tatizo lolote kufika umri huo hauna MTOTO .
Tena kwenye hapo kwenye mtoto ndio nmeona kabisa mtangazaji ana tatizo kubwa Sana
mie mwenyw naingia 40.. sina hata mtoto wa kusingiziwa mkuu.. na sina hata stress.. Na sijui lini nitapata huyo mtoto... To yeye kaweka gingiJamaa huyu hajui kibongobongo kuna watu 40+ bado wanajitafuta hawana kipato cha uhakika
Sasa duniani unefika kufanya nini ase, nakunawatu wamekuleta kwanin nawe usilete mwngine kama huna changamoto yakiafyamie mwenyw naingia 40.. sina hata mtoto wa kusingiziwa mkuu.. na sina hata stress.. Na sijui lini nitapata huyo mtoto... To yeye kaweka gingi
Dunia sio wote lazima tuzae.Sasa duniani unefika kufanya nini ase, nakunawatu wamekuleta kwanin nawe usilete mwngine kama huna changamoto yakiafya
Ndio mana wengine wakazaliwa nAchangamoto zakiafyaDunia sio wote lazima tuzae.
Na kuna wasio na changamoto za kiafya pia ila hawana watoto.Ndio mana wengine wakazaliwa nAchangamoto zakiafya
Tatizo tena kubwa kuliko la kipatoTena kwenye hapo kwenye mtoto ndio nmeona kabisa mtangazaji ana tatizo kubwa Sana
Kwani hapa mko serious π€Kudate nawe yahitaji moyo mgumu mno.....una chembechembe za kumuumiza mtu kwa maneno kimtindo.Ilikuwa ngumu kukata tamaa Ila niliweza mkuu.Ila hongera kwa kujaliwa moyo wenye utu nje ya mahusiano...Barikiwa sana
Mahusiano ndio ππKudate nawe yahitaji moyo mgumu mno.....una chembechembe za kumuumiza mtu kwa maneno kimtindo.Ilikuwa ngumu kukata tamaa Ila niliweza mkuu.Ila hongera kwa kujaliwa moyo wenye utu nje ya mahusiano...Barikiwa sana